Intro [Nonini]
Calif, Genge remix
Watu wa Kenya wana tabia mbaya
Nonini ana tabia mbaya
Jua Cali ana tabia mbaya
Verse 1 [Nonini]
Bado home leo utanipata, sitatoka
Hii ni remix yangu ya kwanza na nina hope imetoka
Nimekuwa kwa keja tu nikipika nikikushugulikia
Ngoma yako wee kamu siunaiskia
Vile iko poa jako yako na trao kila kitu toa
Kuna siri yoyote unaeza like kuniambia toboa
Ushaiguzwa mahali ukaskia ku-kohoa leo mi na we au sio poa poa
Umesahau home ambia ule concodi ata kudondoa
Kwetu hapo inje na gate si ya blue
Kuna style mpya, ebu kwanza inua mguu juu
Ntainua polepole jo sababu minashuku
Shingo yako konda inaeza vunjika ka ya kuku
Naika chemshwa jo na wasee wakunywe supuu
Naeza tembea kwa chupa zimevunjika mguu tupu
Niji fanya sugu sabu yako tu, sabu yako tu
Chorus [Nonini]
Leo niko kwa keja (sabu yako tu)
Sitoki hapa (sabu yako tu)
Kwa hivyo ukitaka
We we we we kamu
Leo niko kwa keja (sabu yako tu)
Sitoki hapa (sabu yako tu)
Kwa hivyo ukitaka
We we we we kamu
Verse 2 [Nonini]
Jua Cali
Ushaichota mtoto kwa haga
[Jua Cali]
Aa sijaichota mtoto wowote kwa haga
Lakini nakuambia jo
Hiyo ndio nime panga
Siku ka leo vile manzi yangu ana kuja kunicheki
Kabla aingie keja lazma ni make sure bado inaeza steady
Bado inaeza ingiza ata ka ame keti
Kwanza zile tembe zangu za viagra vipi
Zime expire ama bado ziko fiti (ziko fiti)
Zimetumiwa na mtu ama bado ziko chini ya ile kiti (hii kiti)
Achana nazo ikifika atanipigia magoti nimbariki
Na juala staki mtaani kuwe na mazishi
Kwa hivyo we kamu, we kamu tu ongeze raha na watu kwa nchi
Bora leo uniachie tu nizame vimbichi
Bora leo uniachie nikushike hivi
Nikupeleke juu, nikupeleke juu mpaka utapike skuma wiki
Elephant run, ningeiskia mpaka kwa coach
Akule itakuwa ibidi
Unastuka nini bana hii ni remix tu
Ka we ni manzi nakungoja kwa keja, we kamu tu, we kamu
Chorus [Nonini]
Leo niko kwa keja (sabu yako tu)
Sitoki hapa (sabu yako tu)
Kwa hivyo ukitaka
We we we we kamu
Leo niko kwa keja (sabu yako tu)
Sitoki hapa (sabu yako tu)
Kwa hivyo ukitaka
We we we we kamu
Verse 3 [Nonini]
Kuna food poa hapa napika
Na usivae jeans imekushika
Ju ya meza leo lazima utakatika
Bila kiti vile utafanya cheza kwa speaker
Na leo usikuje peke yako kuja na beshte zako
Leo nataka combi sikutaki we peke yako
Usiseme unaenda wapi staki noma na masako
Sema unenda laibu staki noma na budako
Anajua si ni ma beshte leo ni poa
Nikifunga mlango tu hivi nipate ushatoa
Unakumba ile chakula nilikuambia
Haiezi ngoja, nitamu kwa ulimi na ukitake unaeza onja
Mdogo mdogo jo hajui inaeza kunyonga
Umejaza mingi kwa mdomo utashindwa kubonga
Tulia nikafungue mlango kuna mzungu ana ngoja
Anamoto jo ananiambia anataka kutototoka
[Nonini]
Nywele leo nimenyoa (sabu yako tu)
Pia chini nimenyoa (sabu yako tu)
Nimeoga baada ya wiki moja (sabu yako tu)
Baby boy lazima ataruka (we we we we kamu)
Juala nimenunua kibao (sabu yako tu)
Mabeshte nimewafukuza wakaenda kwao (sabu yako tu)
Bed na keja zote ni safi (sabu yako tu)
Pia nimefukuza gadafi (we we we we kamu)
** pia nimenunua (sabu yako tu)
Mpaka tenje nkaomba (sabu yako tu)
Tape za nyundo ni nazo (sabu yako tu)
Sa fanya hivi (we we we we kamu) remix
Endeleeni kuongea….. ha
Chorus [Nonini]
Leo niko kwa keja (sabu yako tu)
Sitoki hapa (sabu yako tu)
Kwa hivyo ukitaka
We we we we kamu
Leo niko kwa keja (sabu yako tu)
Sitoki hapa (sabu yako tu)
Kwa hivyo ukitaka
We we we we kamu
No comments:
Post a Comment