Wednesday, 13 July 2016

KUNA SHENG LYRICS BY JUA KALI


Ah!

Kanyeria, Juacali ehhhhhh!

Kuna sheng ya Calif lakini si wote tunaelewana

Kuna sheng ya Buru lakini si wote tunaelewana

Kuna sheng ya Dandora lakini si wote tunaelewana

Kuna sheng ya Okongo lakini si wote tunaelewana


Verse 1

Wagondi siku hizi wanaitwa madingo

Kutoka chwa ni kutoka mbio

Nikikuitisha ing’ang’a nakuitisha soo moja

Nikikuambia nitegee nakuambia we ngoja

Unashtuka nini wacha kujitisha

Kutia blunder nikuji ingiza

Nikiongea na wewe poa nakuskizia

Kupigwa na makarau ni kuvaliwa

Unajaribu kupiga simu nangos haina kitu

Chali yangu umechar hauna kitu

Baadaye tunakuona umebambwa kwa mbulu

Kushare kitu ni sulu bin sulu



CHORUS

Kuna sheng ya Easich lakini si wote tunaelewana

Kuna sheng ya Kibich lakini si wote tunaelewana

Kuna sheng ya Emba lakini si wote tunaelewana

Kuna sheng ya Marish lakini si wote tunaelewana

Verse 2

Manzi msuper anaitwa mtoto Manzi wa udu nae ni ong’ong’o

Ukiachwa mataani umetokwa 
Kuingiza ma winch mingi nikuomoka

Ukiitwa dwanzi nika umeitwa fala 
Kuvurugwa nikulazimishwa kuhama

Kitu noma sana ni mambo mbaya 
Kwanza ka zile chuja ulikua umevaa jana

Kuwa mpole mtu wangu ni sifa tu 
Nakutoshanisha nakupima tu

Punguza caki mzee utafiatuka 
Kitu inatee ni kitu inanuka





CHORUS 
Kuna sheng ya Ongwaro lakini si wote tunaelewana

Kuna sheng ya Pango lakini si wote tunaelewana

Kuna sheng ya Salem lakini si wote tunaelewana

Kuna sheng ya Ungem lakini si wote tunaelewana




Verse 3

Mungu mtaani si umuita Sir Jah

Kutia ndani nikumanga

Kuenda shughli nikuenda mraa

Nikikutia zii mambo yako nimekata

Uko chini chali yangu umechapa

Juzi ulikua mtu wa nguvu mtu wa maana

Kwani haujui chali yangu hauna copy

Nikikwama mahali nika nakuambia sitoki


CHORUS

Kuna sheng ya Baha lakini si wote tunaelewana

Kuna sheng ya Jeri lakini si wote tunaelewana

Kuna sheng ya Bangla lakini si wote tunaelewana

Kuna sheng ya Korogocho lakini si wote tunaelewana

Kuna sheng ya Westi lakini si wote tunaelewana

Kuna sheng ya L.A lakini si wote tunaelewana

Kuna sheng ya Githurai lakini si wote tunaelewana

Kuna sheng ya Mada lakini si wote tunaelewana

Ehhhh

Siezi sahau watu wangu wa Eldi

Eehhhh

Siezi sahau watu wangu wa Nakuru (watu wa nguvu)

Eehhhhh

Sheng ya Kisumu (ni noma sana)

Sheng ya Mombasa (mambo mbaya)

Sheng ya Thika (noma sana)

eehhh

Au sio (au ndio)

Ha ha ha ha...

Ehhh TUGENGE YAJAYO

Kanyeria, Juacali

GENGE Au sio...

No comments:

Post a Comment