Wednesday, 13 July 2016

NGELI YA GENGE LYRICS BY JUA KALI


Verse 1

Naandika hii verse ka niko na njaa 
Naenda kupika bila makaa

Nawaita na mnakataa Mnasema kanisa haina mavijana

Kushiba ni baada ya sala 
Kuiva nao siku hizi ni balaa

Utageuzwa kima na makusaga 
Pika ive tunamanga

Sukuma chumvi na ka uganga 
Chuma ngumi teke kadhaa

Boxer chupi na mahanda 
Toka nyuki asali changaa
 
Koma kumi utashangaa 
Ama stima zitazima

Twende kwa kina Faridah 
Jiekee hina kwa mafinger


CHORUS

Hapa, tunacheza na maneno

Ngeli ya genge!

Hapa, tunacheza na maneno

Ngeli ya genge!


Verse 2

Nataka ukae poa ka kina 
Fatiya Halima na Eva

Watoto wazuri 
Ndoto nzuri huisha

Ka ume--- zote kabisa 
Ukasanya moto ukapatia

Bahati mbaya ukashikwa 
Mabati waya ukapigwa

Mashati za Wanja zikaishia 
Chukua zingine uanze kupima

Vua pengine ni ya Peter 
Beste yangu mtu wa shida

Hii miti ni yangu wee tuliza 
Unadoea kiusfisi na hanjaalikwa

Unapokea dishi na hiajapikwa 
Chakula na mbichi na haijaiva

Tuma sista Eastleigh manjiva 
Lakini chunga vile atajivaa



CHORUS

Hapa, tunacheza na maneno

Ngeli ya genge!

Hapa, tunacheza na maneno

Ngeli ya genge!




Verse 3

Ma-mini puma na adida

Ma-G-string shuka na ma-

Mambuyu kwao ni kushangaa

Pudu zao zinaamka

Njugu kibao anatafuna

Mamatha huku wanashtuka

Hanya huyu utajuta


Kama sumu inaua

Maziwa iko tutakunywa

Kama njumu zinatupa

Kabisa tutakataa kuvua

Matope kila mahali panguza

Polepole ngazi tunashuka

Pole eka kazi ya sungua

Mwisho ganji itaingia

Vitisho wangapi watasikia (Genge damu, California)



CHORUS

Hapa, tunacheza na maneno
Ngeli ya genge!
Hapa, tunacheza na maneno
Ngeli ya genge!

No comments:

Post a Comment