Verse 1 (Jua Cali)
Kwani nimewekewa madawa, siwezi kukuacha
Siogopi kukuambia, mi nakupenda
Watu wa wivu nao zao ni kusemasema
Huyo manzi alinipigia simu mi hata simjui
Mi nimekuwa studio, ati tulikuwa naye wapi juzi
Hizo ni uwongo na unajua
Mlango yangu iko wazi, we ukitaka kurudi nimeifungwa
Unasema hapana, hapana
Huku ukilia mi navumilia
Mi nakazana, nakazana
After hii yote, siamini bado unawezaniambia
CHORUS
Nakuaga mi kwaheri Nami ninakutakia la heri
Kukupenda mi siwezi Jamani, mpenzi kwaheri
Nakuaga mi kwaheri Nami ninakutakia la heri
Kukupenda mi siwezi Jamani, mpenzi kwaheri
Verse 2
Ninashughulika kila kitu yangu irudi fiti
Vile ulipotea tu, watu mtaani wakafikiria nimechizi
Silali, kusema ukweli sikuli Kejani bana hata siku hizi hata situlii
Nipige makofi labda naota Ama nikuache, pia naskia ni kama nimechoka
Kujitetea pali niko au pali siko Nasi tumetupa, miaka sita hivyo
Unasema hapana, hapana Huku ukilia mi navumilia
Mi nakazana, nakazana After hii yote, siamini bado unawezaniambia
CHORUS
Nakuaga mi kwaheri Nami ninakutakia la heri
Kukupenda mi siwezi Jamani, mpenzi kwaheri
Nakuaga mi kwaheri Nami ninakutakia la heri
Kukupenda mi siwezi Jamani, mpenzi kwaheri
Verse 3
Hasira ni ya nini, bana tulia Biashara yetu bado mi nimeishikilia
Na nguvu yangu yote, naweza Pesa zako kuna mali poa nimeiweka
Unaweza chuna kadhaa ukitaka Zile zitabaki, nunua nazo shamba
Lazima tufikirie maisha yetu ya mbele Sio kila siku kelele kelele
Bridge
Tukiwa na wewe Mambo yako yenda kombo
Japo nisonge hapo, matatizo yako yakoma
CHORUS
Nakuaga mi kwaheri Nami ninakutakia la heri
Kukupenda mi siwezi Jamani, mpenzi kwaheri
Nakuaga mi kwaheri Nami ninakutakia la heri
Kukupenda mi siwezi Jamani, mpenzi kwaheri
Tukiwa na wewe Mambo yako yenda kombo
Japo nisonge hapo, matatizo yako yakoma
Nakuaga mi kwaheri Nami ninakutakia la heri
Kukupenda mi siwezi Jamani, mpenzi kwaheri
Nakuaga mi kwaheri Nami ninakutakia la heri
Kukupenda mi siwezi Jamani, mpenzi kwaheri.
No comments:
Post a Comment