Wednesday, 13 July 2016

KWAHERI LYRICS BY JUA KALI FT SANAIPEI TANDE


Verse 1 (Jua Cali)

Kwani nimewekewa madawa, siwezi kukuacha

Kila mahali unaenda mi nakufuata


Siogopi kukuambia, mi nakupenda

Watu wa wivu nao zao ni kusemasema

Huyo manzi alinipigia simu mi hata simjui

Mi nimekuwa studio, ati tulikuwa naye wapi juzi

Hizo ni uwongo na unajua

Mlango yangu iko wazi, we ukitaka kurudi nimeifungwa

Unasema hapana, hapana

Huku ukilia mi navumilia

Mi nakazana, nakazana

After hii yote, siamini bado unawezaniambia




CHORUS

Nakuaga mi kwaheri 
Nami ninakutakia la heri

Kukupenda mi siwezi 
Jamani, mpenzi kwaheri


Nakuaga mi kwaheri Nami ninakutakia la heri

Kukupenda mi siwezi 
Jamani, mpenzi kwaheri


Verse 2

Ninashughulika kila kitu yangu irudi fiti

Vile ulipotea tu, watu mtaani wakafikiria nimechizi

Silali, kusema ukweli sikuli 
Kejani bana hata siku hizi hata situlii

Nipige makofi labda naota 
Ama nikuache, pia naskia ni kama nimechoka

Kujitetea pali niko au pali siko 
Nasi tumetupa, miaka sita hivyo

Unasema hapana, hapana 
Huku ukilia mi navumilia

Mi nakazana, nakazana 
After hii yote, siamini bado unawezaniambia



CHORUS

Nakuaga mi kwaheri 
Nami ninakutakia la heri

Kukupenda mi siwezi 
Jamani, mpenzi kwaheri
  
Nakuaga mi kwaheri Nami ninakutakia la heri

Kukupenda mi siwezi 
Jamani, mpenzi kwaheri


Verse 3

Hasira ni ya nini, bana tulia 
Biashara yetu bado mi nimeishikilia

Na nguvu yangu yote, naweza 
Pesa zako kuna mali poa nimeiweka

Unaweza chuna kadhaa ukitaka 
Zile zitabaki, nunua nazo shamba

Lazima tufikirie maisha yetu ya mbele 
Sio kila siku kelele kelele


Bridge

Tukiwa na wewe 
Mambo yako yenda kombo

Japo nisonge hapo, matatizo yako yakoma



CHORUS

Nakuaga mi kwaheri 
Nami ninakutakia la heri

Kukupenda mi siwezi 
Jamani, mpenzi kwaheri

Nakuaga mi kwaheri Nami ninakutakia la heri

Kukupenda mi siwezi 
Jamani, mpenzi kwaheri

Tukiwa na wewe Mambo yako yenda kombo

Japo nisonge hapo, matatizo yako yakoma

Nakuaga mi kwaheri Nami ninakutakia la heri

Kukupenda mi siwezi 
Jamani, mpenzi kwaheri


Nakuaga mi kwaheri Nami ninakutakia la heri

Kukupenda mi siwezi 
Jamani, mpenzi kwaheri.

No comments:

Post a Comment