Wednesday, 13 July 2016

KIASI LYRICS BY JUA KALI


 Genge jo inanibamba mbaya

Yani hii mziki yani

Nikiiskia yani mi huskia sijui aje


Nika nipige nduru 
Watu!

mnajua niaje

Kitu yoyote ntawaambia leo

Mtanijibu tu 

Verse 1

Maisha yangu tamu siku inanirarukia mbaya lakini nimeamua kuituliza

Kabla pombe iniue itabidi nimeiwacha kabisa ama nianze kuikunywa

Ona vile nywele zangu zimerefuka mpaka watu wananiambia zipunguze

Walikua wanafkiria nimeacha ngoma sababu nimepotea ngoma ni mingi ngoma si

Na zote ziko poa ka mchele imeekewa mnazi ama imegusiwa

Ka hii ngoma inakubamba basi si ukatike na ka inakushika si uongeze sauti tenje

Chukua chali yako chukua manzi yako mweke karibu zitoke nae

Leo ata staki utupe mkono juu me nitingishie tu kichwa yako

staki ukatike sana mpaka uvunje mguu we nisaidie tu kuimba


CHORUS

Kiasi e-ee,  ime ime imenibamba
Kiasi
Kiasi e-ee,  ime ime imenibamba
Kiasi
Kiasi e-ee,  ime ime imenibamba
Kiasi
Kiasi e-ee,  ime ime imenibamba


Verse 2

Hawa watu jana walinishika ikabidi nimewaachia yao

Beste yangu akaanza kubishana nao akanyamazishwa na ma mbao

Eeeh! chali yangu haujawai skia maneno ya hawa watu hawana huruma ata

Juzi gari ya mafuta ikaanguka si waliangalia watu wakiiva

Nyama choma kila mahali kachumbari poa lakini iongeze kitungu

Wale wameponea wapeleke hosi watatibiwa na madaktari

Hao wengine hawakuja job wanasema leo wajamaliziwa ile ganji yao

Eeeh! uspotibiwa sai utaona tu maisha yako ikikuacha

Lakini usiwe na wasiwasi itarudi tu baada ya ma dakika baada ya ma dakika

Ebu niambie hio pande ingine ni ku poa ama ni kubaya hivi

Kumetulia ama watu wanaungua ama watu wanaiva hivi



CHORUS

Kiasi e-ee,  ime ime imenibamba

Kiasi

Kiasi e-ee,  ime ime imenibamba

Kiasi

Kiasi e-ee,  ime ime imenibamba

Kiasi

Kiasi e-ee,  ime ime imenibamba


Verse 3

Naskia raha wasee wamechanuka siku hizi ngoma mbaya haziskizwi ata

Pia naskia raha unaeza chinjia manzi siku hizi ata ka ni mzee wako

Kabla niende kumwona lazima nipige nguo pasi nijipake mafuta

Niakikishe ngotha safi na ka si mathao mfukoni nikue na ganji ata

Leo lazima nijue ka ananipenda sana ama labda ananichukia

Lazima nijue ka tazamisha yote ama taiekelea

Akikata naachana nae naenda kutafuta mwengine msupa tu

Na najua tapata Kiswahili yangu ni mambo yote hapa hakuna cha kugeiwa

After hio tunakuta vitu kuta vitu mchana tunatulia


Kiasi e-ee,  ime ime imenibamba

Kiasi

Kiasi e-ee,  ime ime imenibamba

Kiasi

Kiasi e-ee,  ime ime imenibamba

Kiasi

Kiasi e-ee,  ime ime imenibamba

No comments:

Post a Comment