Saturday, 9 July 2016

NAI NAI LYRICS OMMY DIMPOZ FT ALI KIBA


Verse 1
Nai nai, hakya mungu walai, ninakuzimia

I was shy, shy, you remember that day, niliyokutokea

Wanasema why, why, penzi lako sikatai, limenikolea

Ushanitoa nishai, shai, wengine hawafai, nimejionea

Ai nyota haing'ai, ng'ai, bila we haing'ai, unaniwezea


Jamani, why, why? Why, why? Why, why?

I feel to die, die! Die, die! Die, die!

Jamani, why, why? Why, why? Why, why?

Verse 2

Nai nai, ukinikubali sikatai, jua you're already in my mind
Ukinipa sikatai, nakupenda sana you're always in my mind

Always in my mind, swaga zinanimaliza
Always in my mind, always in my mind

Iwe china au dubai, nitagharamia

Walosema haufai, wako wapi walaghai, wangetubania
Mwenzio najidai, ai, kuwa nawe najidai, nakupenda dear
Nipe nifurahi, nipe yote nifurahi, wangu malikia
Motema nangai,ngai, we sukari mi ndo chai, umenikolea

Jamani, why, why? Why, why? Why, why?
I feel to die, die! Die, die! Die, die!
Jamani, why, why? Why, why? Why, why?

Nai nai, ukinikubali sikatai, jua you're already in my mind
Ukinipa sikatai, nakupenda sana you're always in my mind
Always in my mind, swaga zinanimaliza
Always in my mind, always in my mind

Ooh 
You're always in my mind
You’re always in my mind
You’re always in my mind
You’re always in my mind

heeey

Ooh
You're always in my mind 
Ooh
I need you
You're always, you're always in my mind 
You're always, yeah 
Nai nai, ukinikubali sikatai, jua you're already in my mind
Ukinipa sikatai, nakupenda sana you're always in my mind 
Always in my mind, swaga zinanimaliza 
Always in my mind, always in my mind 

You're always in my mind 

No comments:

Post a Comment