[Verse 1]
Ilikuwa Jumapili tarehe 9
Ama hakika siku ya visitors
Nimem-miss msela wangu, masikani yetu Sinza
Tumefika mapaka pale, tukamuona afande
Na tulikuwa masela kama wanne
Tumepeleka mazagazaga kibao
Siwezi taja yaani yalikuwa kibao
Nilipomuona kwa mbali nilifurahi
Alipofika karibu I started to cry
Nilipomuona kwa mbali nilifurahi
Alipofika karibu I started to cry
Msela amechoka, msela amekonda
Ana mapele mwili mzima
Jama msela anateseka
Ilikuwa Jumapili tarehe 9
Ama hakika siku ya visitors
Nimem-miss msela wangu, masikani yetu Sinza
Tumefika mapaka pale, tukamuona afande
Na tulikuwa masela kama wanne
Tumepeleka mazagazaga kibao
Siwezi taja yaani yalikuwa kibao
Nilipomuona kwa mbali nilifurahi
Alipofika karibu I started to cry
Nilipomuona kwa mbali nilifurahi
Alipofika karibu I started to cry
Msela amechoka, msela amekonda
Ana mapele mwili mzima
Jama msela anateseka
[Chorus] x2
Nimetoka kumcheki msela jela
Amenipa ukweli kesi yake
Naongea kwa uchungu huku nalia
Watu wanaamini kesi yake
Na pia anawapa hi
Na pia anawasabahi
Na pia anawapa hi
Na pia anawasabahi
Nimetoka kumcheki msela jela
Amenipa ukweli kesi yake
Naongea kwa uchungu huku nalia
Watu wanaamini kesi yake
Na pia anawapa hi
Na pia anawasabahi
Na pia anawapa hi
Na pia anawasabahi
[Verse 2]
Msela kaniambia yeye hakukosa
Msela, ila ushahidi haukutosha
Msela kaniambia yeye hakukosa
Msela, ila ushahidi haukutosha
Msela tumuombee Mungu atatoka
Japo ataanza maisha upya
Hiyo sio mbaya ili mradi katoka
Msela kaniambia yeye hakukosa
Msela, ila ushahidi haukutosha
Msela tumuombee Mungu atatoka
Japo ataanza maisha upya
Hiyo sio mbaya ili mradi katoka
Msela kaniambia yeye hakukosa
Msela, ila ushahidi haukutosha
Msela kaniambia yeye hakukosa
Msela, ila ushahidi haukutosha
Msela tumuombee Mungu atatoka
Japo ataanza maisha upya
Hiyo sio mbaya ili mradi katoka
Msela kaniambia yeye hakukosa
Msela, ila ushahidi haukutosha
Msela tumuombee Mungu atatoka
Japo ataanza maisha upya
Hiyo sio mbaya ili mradi katoka
[Bridge]
Weyo weyo weyo (weyo)
Weyo weyo weyo (weyo)
Weyo weyo weyo (weyo)
Weyo weyo weyo (weyo)
Weyo weyo weyo (weyo)
Weyo weyo weyo (weyo)
Weyo weyo weyo (weyo)
Weyo weyo weyo (weyo)
Mama mama mama mama mama mae (mamae)
Mama mama mama mama mama mae (mamae)
Mama mama mama mama mama mae (mamae)
Mama mama mama mama mama mae
Mama mama mama mama mama mae (mamae)
Mama mama mama mama mama mae (mamae)
Mama mama mama mama mama mae
[Verse 3]
Hata kama nikifa, P atoke
Hata kwa msamaha wa raisi
Hata kama nikifa, P atoke
Hata kwa msamaha wa raisi
Raisi mtote P, watu wanampenda P
Raisi mtote P, watu wanampenda P
Hata kama nikifa, P atoke
Hata kwa msamaha wa raisi
Hata kama nikifa, P atoke
Hata kwa msamaha wa raisi
Raisi mtote P, watu wanampenda P
Raisi mtote P, watu wanampenda P
[Bridge]
Weyo weyo weyo (weyo)
Weyo weyo weyo (weyo)
Weyo weyo weyo (weyo)
Weyo weyo weyo (weyo)
Weyo weyo weyo (weyo)
Weyo weyo weyo (weyo)
Weyo weyo weyo (weyo)
Weyo weyo weyo (weyo)
Mama mama mama mama mama mae (mamae)
Mama mama mama mama mama mae (mamae)
Mama mama mama mama mama mae (mamae)
Mama mama mama mama mama mae (mamae)
Mama mama mama mama mama mae (mamae)
Mama mama mama mama mama mae (mamae)
Mama mama mama mama mama mae (mamae)
[Chorus] x2
Nimetoka kumcheki msela jela
Amenipa ukweli kesi yake
Naongea kwa uchungu huku nalia
Watu wanaamini kesi yake
Na pia anawapa hi
Na pia anawasabahi
Na pia anawapa hi
Na pia anawasabahi
Nimetoka kumcheki msela jela
Amenipa ukweli kesi yake
Naongea kwa uchungu huku nalia
Watu wanaamini kesi yake
Na pia anawapa hi
Na pia anawasabahi
Na pia anawapa hi
Na pia anawasabahi
No comments:
Post a Comment