[Verse 1]
Watu wanachonga wanasema mengi mengi
Tena wanataka kuona meli haisongi
Yaani wanalonga, longa sana mengi sichongi
Kukupenda wewe inawachoma
Kukupenda wewe inawachoma mama
Watu wanachonga wanasema mengi mengi
Tena wanataka kuona meli haisongi
Yaani wanalonga, longa sana mengi sichongi
Kukupenda wewe inawachoma
Kukupenda wewe inawachoma mama
[Chorus]
Wanashindwa lala wakisema
Kukupenda wewe inawachoma
Wanashindwa lala wakisema
Kukupenda wewe inawachoma
Wanashindwa lala wakisema
Kukupenda wewe inawachoma
Wanashindwa lala wakisema
Kukupenda wewe inawachoma
[Verse 2]
Inawachoma sana hawajui hata ni vipi tulikutana
Wanashangaa kuona eti vile nakupenda sana
Nawashangaa hawa jama wanasema umenipeleka kwa sangoma
Hayo ya nini wakati mapenzi anapanga Maulana
Wameanza tena
Inawachoma sana hawajui hata ni vipi tulikutana
Wanashangaa kuona eti vile nakupenda sana
Nawashangaa hawa jama wanasema umenipeleka kwa sangoma
Hayo ya nini wakati mapenzi anapanga Maulana
Wameanza tena
[Chorus]
Wanashindwa lala wakisema
Kukupenda wewe inawachoma
Wanashindwa lala wakisema
Kukupenda wewe inawachoma
Kukupenda wewe inawachoma
Kukupenda wewe inawachoma
Wanashindwa lala wakisema
Kukupenda wewe inawachoma
Wanashindwa lala wakisema
Kukupenda wewe inawachoma
Kukupenda wewe inawachoma
Kukupenda wewe inawachoma
[Verse 3]
Inawachoma sana juzi nimekununulia doti ya khanga
Italeta uhasama siku nitakayo kununulia Bima
Wanakata matawi nimeshikilia mizizi na shina
Mama wewe ninavyokupenda muulize Mwakachila
Inawachoma sana juzi nimekununulia doti ya khanga
Italeta uhasama siku nitakayo kununulia Bima
Wanakata matawi nimeshikilia mizizi na shina
Mama wewe ninavyokupenda muulize Mwakachila
[Chorus]
Wanashindwa lala wakisema
Kukupenda wewe inawachoma
Wanashindwa lala wakisema
Kukupenda wewe inawachoma
Kukupenda wewe inawachoma
Kukupenda wewe inawachoma
Wanashindwa lala wakisema
Kukupenda wewe inawachoma
Wanashindwa lala wakisema
Kukupenda wewe inawachoma
Kukupenda wewe inawachoma
Kukupenda wewe inawachoma
(Kukupenda wewe inawachoma) x6
[Chorus]
Wanashindwa lala wakisema
Kukupenda wewe inawachoma
Wanashindwa lala wakisema
Kukupenda wewe inawachoma
Kukupenda wewe inawachoma
Kukupenda wewe inawachoma
Wanashindwa lala wakisema
Kukupenda wewe inawachoma
Wanashindwa lala wakisema
Kukupenda wewe inawachoma
Kukupenda wewe inawachoma
Kukupenda wewe inawachoma
No comments:
Post a Comment