Saturday, 21 November 2015
Kwangu 254 lyrics by Ali B,Bahati, Bwana DNA,Collo,size 8,suzzana owino,wahu.
Friday, 20 November 2015
Live and die in Africa lyrics by Sauti Sol .
Mama lyrics by Bahati
Mama lyrics by Bahati
Bahati Bahati Tena Flame
International
Mwanabuja Wee
Mimi Naimbia Mama, Mimi Nasifu Mama, Mama
Chorus
Maana Kubwa Kwangu
Mummy Ndio Nakuimbia Mama
Zawadi Nono Kwangu Haki
Kutokana Kwa Maulana x2
Verse1
Nimetu Dakika Keti Chini Nikuambie
Nachukua Hii Fursa Mama
Wacha Nikuambie
Nimetu Dakika keti Chini Nikuambie
Nachukua Hii Fursa
Na Dunia Isikie
Miezi Tisa Ndani Yako
Kunibeba Uchovu
Na Miaka Tisa Kando Yako
Ukinitoa Uovu
(Mama)
Miezi Tisa Ndani Yako
Kunibeba Uchovu
Na Miaka Tisa Kando Yako
Ukinitoa Uovu
Chorus
Maana Kubwa Kwangu
Mummy Ndio Nakuimbia Mama
Zawadi Nono Kwangu Haki
Kutokana Kwa Maulana x2
Verse 3
Uuu Utovu Wa Nidhamu
Ndani Yangu Ukaupiga
Na Ndoto Za Utotoni Ukinipa
Motisha
(Mama)
Utovu Wa Nindhamu
Ndani Yangu Ukaupiga
Na Ndoto Za Utotoni Ukanipiga
Motisha
Mwanangu Unaweza Lolote
Ukijikaza Utafika Popote
Mwana, Unaweza Lolote
Maono Mengi Ulifanya Niote x2
Chorus
Maana Kubwa Kwangu
Mummy Ndio Nakuimbia Mama
Zawadi Nono Kwangu Haki
Kutokana Kwa Maulana x2
Verse 3
Ulinyima Nipate Wee,
Hukutaka Nikose ee
Ulinyima Nipate Wee,
Hukutaka Nikose ee
Ulinyima Nipate
(Mama)
Hukutaka Nikose ee
Hukutaka Nikose ee
Chorus
Maana Kubwa Kwangu
Mummy Ndio Nakuimbia Mama
Zawadi Nono Kwangu Haki
Kutokana Kwa Maulana *2
Liii Mama, Nakupenda Mama
Asante Mama RIP Love Yah!!!
Kitanzi lyrics by willy paul ft Gloria muliro
Muziki ni dawa lyrics by Ringtone
Machozi lyrics by Bahati
Missi lyrics by willy paul
Matokeo lyrics by Gloria muliro
You never know lyrics by willy paul msafi
Barua lyrics by Bahati
Lala salama lyrics by willy Paul
Wednesday, 18 November 2015
Sauti sol live and die in afrika album art and track list
No stress lyrics by Avril ft Ay
-
Verse 1 Pombe ni kichwa kinauma, kishalewa, anajipoza na maji Na mimi hata muda sina, nishamkanya, ninasikiza mamelody Nis...
-
[Chorus] Watu walishachonga sana Eti Vailet simpati tena Na kuongea uzushi bwana Kwa kuona mambo yetu yananyooka Hata kiss, hug si...