[Intro – Maurice Kirya]
This is AY from Tanzania
Maurice Kirya and MD from Uganda
It’s a dedication to all Africans living in poverty
Yeah!
This is AY from Tanzania
Maurice Kirya and MD from Uganda
It’s a dedication to all Africans living in poverty
Yeah!
[Verse 1 – AY]
Usiombee mambo yaharibike
Pesa usiishike mfano wa mti upukutike
Utaonekana si lolote, si chochote
Utaonekana karaha kwa watu siku zote
Walimwengu hawatakupa mkono
Magonjwa yatakuvuta ndani ya shimo
Utakata tamaa, utaandamwa na balaa
Pumzi hutoivuta kwa raha
Kweli usiombe ikuwai
Survive for fittest, never trust nobody this world of weakness
Watakukana hata kama ndugu zako
Watadiriki sema hawajui utokako
Mama acha kulia, hali ulio nayo ni majaribu tu ya dunia
Ipo siku mambo yako yatatulia
Utaweza hata kusahau ya zamani uliopitia
Oh hii dunia!
Usiombee mambo yaharibike
Pesa usiishike mfano wa mti upukutike
Utaonekana si lolote, si chochote
Utaonekana karaha kwa watu siku zote
Walimwengu hawatakupa mkono
Magonjwa yatakuvuta ndani ya shimo
Utakata tamaa, utaandamwa na balaa
Pumzi hutoivuta kwa raha
Kweli usiombe ikuwai
Survive for fittest, never trust nobody this world of weakness
Watakukana hata kama ndugu zako
Watadiriki sema hawajui utokako
Mama acha kulia, hali ulio nayo ni majaribu tu ya dunia
Ipo siku mambo yako yatatulia
Utaweza hata kusahau ya zamani uliopitia
Oh hii dunia!
[Chorus – Maurice Kirya]
Baga lalinaa aah, gendo okore
You should think about tomorrow, not only today
Baga lalinaa aah, gendo okore
Oo uuh, gendo okore
Baga lalinaa aah, gendo okore
You should think about tomorrow, not only today
Baga lalinaa aah, gendo okore
Oo uuh, gendo okore
[Verse 2 – AY]
Wapo wapi marafiki ulokuwa nao
Enzi zile pesa imekutembelea?
Hawapo tena nawe wamekukimbia
Sasa uko waliko tayari wanakukandia
Mke wako nae anataka taraka
Anasema maisha nawe ameshachoka
Anataka arudi kule kwao alipotoka
Sababu maisha anayoishi nawe ameshachoka
Ada ya watoto hujalipia
Kodi ya chumba nayo unadaiwa
Unazidi changanyikiwa hata unajuta oh kwanini ulizaliwa
Piga moyo konde, maisha uyashinde
Bado safari ndefu yenye miba na mabonde
Usiweke kinyongo hata kama alikutupa
Remain strong, these tryna be jealous
That’s all!
Wapo wapi marafiki ulokuwa nao
Enzi zile pesa imekutembelea?
Hawapo tena nawe wamekukimbia
Sasa uko waliko tayari wanakukandia
Mke wako nae anataka taraka
Anasema maisha nawe ameshachoka
Anataka arudi kule kwao alipotoka
Sababu maisha anayoishi nawe ameshachoka
Ada ya watoto hujalipia
Kodi ya chumba nayo unadaiwa
Unazidi changanyikiwa hata unajuta oh kwanini ulizaliwa
Piga moyo konde, maisha uyashinde
Bado safari ndefu yenye miba na mabonde
Usiweke kinyongo hata kama alikutupa
Remain strong, these tryna be jealous
That’s all!
[Chorus – Maurice Kirya]
Baga lalinaa aah, gendo okore
You should think about tomorrow, not only today
Baga lalinaa aah, gendo okore
Oo uuh, gendo okore
Baga lalinaa aah, gendo okore
You should think about tomorrow, not only today
Baga lalinaa aah, gendo okore
Oo uuh, gendo okore
[Bridge – Maurice Kirya]
Binadamu sio watu
Ukiwa na shida hutowaona
Ona sasa wamekimbia, uuh oh
Ona sasa wamekimbia!
Binadamu sio watu
Ukiwa na shida hutowaona
Ona sasa wamekimbia, uuh oh
Ona sasa wamekimbia!
[Chorus – Maurice Kirya] x2
Baga lalinaa aah, gendo okore
You should think about tomorrow, not only today
Baga lalinaa aah, gendo okoreOo uuh, gendo okore
Baga lalinaa aah, gendo okore
You should think about tomorrow, not only today
Baga lalinaa aah, gendo okoreOo uuh, gendo okore
[Outro – Maurice Kirya & (AY)]
Binadamu sio watu
(Ni kweli watakupenda ukiwa na kitu tu)
Ukiwa na shida hutowaona
(Watakujali vipi ukiwa na shida ndugu yangu?!)
Ona sasa wamekimbia, uuh oh
(Kali, Rasheed)
Ona sasa wamekimbia!
(ECT, Master Jay)
Ona sasa wamekimbia!
(Maisha yana pande mbili, usife moyo)
Ona sasa wamekimbia!
(Zingatia, sikia, siku zote ndo yanavyotokea)
Binadamu sio watu
(Ni kweli watakupenda ukiwa na kitu tu)
Ukiwa na shida hutowaona
(Watakujali vipi ukiwa na shida ndugu yangu?!)
Ona sasa wamekimbia, uuh oh
(Kali, Rasheed)
Ona sasa wamekimbia!
(ECT, Master Jay)
Ona sasa wamekimbia!
(Maisha yana pande mbili, usife moyo)
Ona sasa wamekimbia!
(Zingatia, sikia, siku zote ndo yanavyotokea)
No comments:
Post a Comment