Kutoka kwa AY
[Chorus] x2
Yule, nampenda sana jinsi alivyo
Yule, nampenda sana jinsi alivyo simple
Yule, nampenda sana jinsi alivyo
Nitafanyaje? Patamu hapo!
Yule, nampenda sana jinsi alivyo
Yule, nampenda sana jinsi alivyo simple
Yule, nampenda sana jinsi alivyo
Nitafanyaje? Patamu hapo!
[Verse 1]
Anavyotabasamu ndipo anaponipa hamu
Sura umbo lake basi lanipa wazimu
Nataka kumfuata, nahisi atakataa
Naogopa akinimwaga, story zitazagaa
Napenda miondoko yake, tabia yake
Umaskini wangu utanifanya nisimpate
Yule, anayesumbua akili yangu
Yule, anayeumiza moyo wangu
Najua hafahamu, najua hafahamu
Moyoni mi nabaki na mawazo
Lakini kumwambia ndo siwezi
Anavyotabasamu ndipo anaponipa hamu
Sura umbo lake basi lanipa wazimu
Nataka kumfuata, nahisi atakataa
Naogopa akinimwaga, story zitazagaa
Napenda miondoko yake, tabia yake
Umaskini wangu utanifanya nisimpate
Yule, anayesumbua akili yangu
Yule, anayeumiza moyo wangu
Najua hafahamu, najua hafahamu
Moyoni mi nabaki na mawazo
Lakini kumwambia ndo siwezi
[Chorus] x2
Yule, nampenda sana jinsi alivyo
Yule, nampenda sana jinsi alivyo simple
Yule, nampenda sana jinsi alivyo
Nitafanyaje? Patamu hapo!
Yule, nampenda sana jinsi alivyo
Yule, nampenda sana jinsi alivyo simple
Yule, nampenda sana jinsi alivyo
Nitafanyaje? Patamu hapo!
[Verse 2]
Tatizo hajui, bila penzi lake mazee sijitambui
Mi nitafanyaje, hata nikimuona mdomo unajaa mate
No no, no no
Napomuona, pindi tukikutana
Iwe club, kapozi na rafiki zake
Huwa tabu, napofikiria ni vipi nimfuate
Muda utafika napo ukweli ntamueleza
Nakosa raha pale washkaji wakinicheka
Sijitambui, nae hajui kama kwake nimefika
Tatizo hajui, bila penzi lake mazee sijitambui
Mi nitafanyaje, hata nikimuona mdomo unajaa mate
No no, no no
Napomuona, pindi tukikutana
Iwe club, kapozi na rafiki zake
Huwa tabu, napofikiria ni vipi nimfuate
Muda utafika napo ukweli ntamueleza
Nakosa raha pale washkaji wakinicheka
Sijitambui, nae hajui kama kwake nimefika
[Bridge]
Anavutia..
Cha ajabu hajidai
Nataka awe wangu tu, lakini kumwambia ndo siwezi
Anavutia..
Cha ajabu hajidai
Nataka awe wangu tu, lakini kumwambia ndo siwezi
[Chorus]
Yule, nampenda sana jinsi alivyo
Yule, nampenda sana jinsi alivyo simple
Yule, nampenda sana jinsi alivyo
Nitafanyaje? Patamu hapo!
Yule, nampenda sana jinsi alivyo
Yule, nampenda sana jinsi alivyo simple
Yule, nampenda sana jinsi alivyo
Nitafanyaje? Patamu hapo!
No comments:
Post a Comment