Thursday 22 September 2016

NITULIZE LYRICS BY BROWN MAUZO FEAT ALI KIBA

This is Brown Mauzo fifth video featuring Tanzanian maestro Ali kiba.The audio has been recorded by Man water at Combination sounds(Tz) and video shot in South Africa by Nicorux.


SONG: NITULIZE

ARTIST: BROWN MAUZO FT ALI KIBA
AUDIO: MAN WATER
VIDEO: NICORUX


LYRICS.

Ni mara ngapi nimeficha siri nisiseme

na siku ngapi niketi chini nakiwaza
mama moyo mfupa huna husiniumize
 husije niua na maumivu

na ushakata mizizi ya raha yangu
tena sicheki mbona sasa ni kilio tu
nimekulilia nimekuzoea wewe
na pendo lako linanipotea

oh nishakwenda mpaka tanga

kwa matibabu, kutafuta dawa nirudi
na mbona hurudi macho yangu yapone
husifanye kusudi ngojwa langu lipone

nimeamini maneno ni sumu yalifanya uondoke
 tangu uondoke
tamu limegeuka chungu

nakumbuka tamu kitandani hondari mama
kutwa nashika tama na usiku silali X2

Nitulize mama "nitulize"
nimechoka sana "nitulize"
nishakula yamini "nitulize"
sitaki kuzunguka tena naridhika nawe "nitulize"

wamemwanga chungu ndani ya pendo
yangu mimi ALi si tamu tena
eh na nilivyoangaika mpaka ata kupata
sheri eh hawakuniona pendo linaudhi najua
tena nilivyozurura upate kula
leo inaniuma neno ni sumu

ulivyoondoka nilidhani nitazoea
sa naogopa mapenzi nikiyapa sekunde
mama sekunde nikiyapa sekunde
naona sura yako kila sekunde

No comments:

Post a Comment