Saturday 9 July 2016

Mwana lyrics by Ali kiba


Verse 1
Mali ni nyingi nyumbani kipi kimekukimbiza
Ona papi-o mami-o wote wanakulilia 
Mtoto peke yako nyumbani kipi kimekukimbiza 
Ona papi-o mami-o wote wanakulilia 

Ndani ya Dar Es Salaama ulikuja bure
Tena kimwana kimwana hujui kuchuna
Na zile lawama za wale walokuzoeza
Ulikuja jana na leo tofauti sana

Tena bora yule wa jana wa leo tofauti sana
Dakika mbili mbele nyuma kichwa kinauma
Tena bora yule wa jana wa jana leo wa jana
Dakika mbili mbele nyuma kichwa kinauma
oyayee
Mbona unawatesa sana?
omamee
Mbona unajitesa sana?

Verse 2
Ukaanza kulewa madawa kuvuta kwa sana 
ndani ya Dar es Salaam mambo matamu hayakukuisha hamu 
we bado mtoto kwa mama hujayajua mengi 
Mwenda tezi na omo marejeo ngamani 

Amesema sana mama dunia tambara bovu 
kuna asali na shubiri ujana giza na nuru 
We mwana wewe mwana, mwana jeuri sana 
Ulichokifuata hukupata, umekosa ulivyoacha 

Kwa baba yako mwana na mama yako mwana 
Kwa vichache ulivyovitaka ni vingi ulivyoacha 
oyayee 
Mbona unajitesa sana? 
omamee 
Mbona unawatesa sana? 

No comments:

Post a Comment