Thursday 30 November 2017

HAYAWANI LYRICS BY NYASHINSKI

Song : HAYAWANI

Artist : NYASHINSKI

LYRICS.

Kabla suala ukamilishe mama,Tafadhali mola mwambie
Milele Anichunge nisije zama,Mashetani yasinivamie
Chuki wivu tu nakutesa,Linda kwako usiwaskie
Kwa nini hatuwezi sote kupenda, Oiih wenzangu wacha niwaambie,
Labda si sote wendawazimu,Kabla laana yetu pesa,
Kesho ukipoteza kila kitu, Dunia nzima itakucheka,
Wanaomba nitiliwe chai yangu sumu, Wabaki hao ndio kusema
Kesho wampigie demu wangu simu, Asahau alivyonipenda,


Ona mayawani
Hayayayayayayaya haya nao si watu hawa
Hayayayayayayaya Binadamu kageuka mnyama
Hayawani hayawani hayawani Hayawani
Hayayayayayayaya
hayawani hayawani hayawani Hayawani
Hayayayayayayaya


Tunaongezea nini bidii, Na roho ya mwanadamu haitosheki aki,
Sorry if I never made you happy, I can’t be there for everybody
Its easy to see, wengi huishi tu kutafuta kasoro kwako
Why man so money minded, you wanna take from everyone
Man eat man society, huoni haya kuivunja familia
Hamna utu ni kujifikiria wooii Binadamu wote mmekua

HAYAWANI
Hayayayayayayaya haya nao si watu hawa
Hayayayayayayaya Binadamu kageuka mnyama
Hayawani hayawani hayawani Hayawani
Hayayayayayayaya
hayawani hayawani hayawani Hayawani
Hayayayayayayaya


Kabla suala ukamilishe mama, Tafadhali Mola mwambie
Milele anichunge me nisije zama, Mashetani yasinivamie
Chuki wivu tunakutesa, Linda kwako usiwaskie
Kwanini hatuwezi sote kupendana,Binadamu acha niwaambie
Labda si sote wendawazimu, Kabla laana yetu pesa,
Kesho ukipoteza kila kitu Dunia nzima itakucheka,
Wanaomba nitiliwe chai yangu sumu, Wabaki hao ndio kusema
Kesho wampigie demu wangu simu, Asahau alivyonipenda,

Hayawani eeh hayawaaa
Hayawani eeh Hayawaaa
hayawani eeh Hayawaaa

hayawani eeh Hayawaa


a

No comments:

Post a Comment