LYRICS
[Verse 1: RayVanny]
Kioo hakidanganyi mama
Umejipodoa umepodoka
Mwendo na shape vyote mwanana
Mi suruali yanidondoka
Hiyo michezo ya jogoo
Tukimbizane nini Salome wangu?
Inama kidogo
Mbona watizama chini Salome wangu?
Ukimuona jongo
Shika magoti
Chumbani
bingiribingiri 'samasoti'
Mi nimesimama kama ngongoti
Mtoto jojo sio roboti
(Unantekenyaga ukinyongaa)
[Chorus: Diamond Platnumz]
Unantenkenyaga ukinyonga Salome
Unantenkenyaga ukinyonga kweli
(Unantekenyaga ukinyongaa)
Utamu
kolea a porokoto
Aaah orera bakuru vani
Orera ngambee
Orera ngambe
Orera na Zari ma
[Verse 2: Diamond Platnumz]
(Shida mama)
Ting'ali ting'ali ndani kwa moto
Ntamnyongea msokoto
Eeh mapenzi yananipa shida
Nteme sumu kali kama koboko
Huwa siendagi nge nge ni nga nga nga
Ni donda lisilokuwa na tiba
(Tiba bwana)
Ukanichambua moyo kama karanga
Usije baby ukanicharanga
(Unantekenyaga ukinyongaa)
Mie baby kwenye msambwanda
[Chorus: Diamond Platnumz]
Unantenkenyaga ukinyonga Salome
(Unantekenyaga
ukinyongaa)
Unantenkenyaga ukinyonga kweli Aah orera bakuru vani
Nisimamie kama kangaroo
Orera ngambee Orera na Zari ma Orera ngambe
[Verse 3: RayVanny]
Miee mwenzako nyang'anyang'a
Miee binzari we ndio nyanya
Baby kwang'waru Ibane kangwaru
(Chambua kama karanga)
Babu Juma mpige kwakwaru (Kwakwarukwa)
[Bridge]
Asa chambua kama karanga sasa
(Chambua kama karanga)
Ichambue kama karanga
Salome Asa washa, washa,
moto washa, washa
Wenye wivu wajinyonge kweli
Songa, songa, ugali songa,
songa Mpaka chini ka chi
Mpaka chini ka chi
Wenye wivu wajinyonge leo
(Wenye wivu
wajinyonge)
Aaah wenye wivu
wajinyonge sana
(Wenye wivu wajinyonge)
(Ukinyonga)
(Wenye wivu wajinyonge)
Oooh wenye wivuwajinyonge sana
(Wenye wivu
wajinyonge)
[Outro]
Wanakodoa kodo!
Wanakodoa (Macho
kodo!)
Wanakodoa kodo!
Wanakodoa (Wale kodo!)
Wanakodoa kodo!
Wanakodoa
----Mwisho--
Wanakodoa kodo!
Wanakodoa (We
ukisonga)
Wanakodoa kodo! Wanakodoa
Why did you mix the stanzas? Boring
ReplyDelete