Tuesday 27 September 2016

KUPE LYRICS BY AMOS AND JOSH FT BEN POL, APIO MOHAMMED AMIN



  Music is a Universal Language that crosses boundaries and speaks one Language.

LYRICS


Nipe chance? nijitetee tu saa hii
tuende wapii? nikutembeze Dah hii
watu wajue mimi nilishawahi
***sawa nafiki sote zikubali mimi***

umenichanganya umeniduwaza
umenipeleka juu na chini na kunipumbaza X2

mama aah
kama kupe sikutoki
kama kupe sikutoki
kama kupe sikuachilii
kama kupe sikutoki
kama kupe sikuachilii

Nipe fursa nikujibu swali
sio siri mimi nakuwaza mimi
masilahi utaniachia mimi
kama siamini ****



umenichanganya umeniduwaza

umenipeleka juu na chini na kunipumbaza X2

mama aah
kama kupe sikutoki
kama kupe sikutoki
kama kupe sikuachilii
kama kupe sikutoki
kama kupe sikuachilii

sikuachi kwa mkono
***** touch and follow
*************
***********

wewe na mimi ni kama watoto wawili
tukitembea ucheza kila mahali
mara nikulishee, mara unikunyweshee
unanipa vyote siwezi enda kwa mwingine

unanimaliza, unaniweza
ata nikiwa na shida wewe unanitetea Baibee


nyama loote ukanipa kidogo mkononi kuonja
nyama loote ukanipa kidogo mkononi kuonja
kidogo mkononi kuonja
kidogo mkononi kuonja

singejua ana ng'ombe nami nina ng'ombe zangu
namwambia tutengane hataki kwa heri nenda zangu

kama kupe sikutoki
kama kupe sikutoki
kama kupe sikuachilii
kama kupe sikutoki
kama kupe sikuachilii
kama kupe sikutoki

No comments:

Post a Comment