Thursday, 21 July 2016

UNDERSTANDING LYRICS BY LADY JAY DEE FT TID


[Chorus] x2
[TID]
What I need from you is understanding
Nachotaka toka kwako maelewano
Ugomvi kila siku na maneno
Nimechoka ah! Nataka maelewano
[Lady Jay Dee]
All I need from you is understanding
Kwani kila ifikapo mwisho wa wiki
Vitimbi, vitimbi, vitimbi na mikiki
Ndio sababu uuh usitoke na mimi
[Verse 1]
[TID]
Mama, mama, nimeshakuoa
Acha mumeo nikatafute pesa
Shida gani inakusumbua?
Kama chakula nimeshanunua wowowo
[Lady Jay Dee]
Shida yangu si chakula
Wala shida sio pesa
Mapenzi yako wapi ulonipa mwanzoni?
Mbona umebadilika? Tena hauambiliki!
Nani anakuzingua? Haueleweki wewe!
[Chorus]
[TID]
What I need from you is understanding (understanding)
Nachotaka toka kwako maelewano (maelewano)
Ugomvi kila siku na maneno (oh no)
Nimechoka ah! Nataka maelewano
[Lady Jay Dee]
All I need from you is understanding (understanding… standing)
Kwani kila ifikapo mwisho wa wiki (mmh yeah)
Vitimbi, vitimbi, vitimbi na mikiki
Ndio sababu uuh usitoke na mimi
[TID]
What I need from you is understanding (understanding)
Nachotaka toka kwako maelewano (no no no no)
Ugomvi kila siku na maneno (maneno)
Nimechoka ah! Nataka maelewano
[Lady Jay Dee]
All I need from you is understanding (understanding)
Kwani kila ifikapo mwisho wa wiki (kwanini eh?)
Vitimbi, vitimbi, vitimbi na mikiki
Ndio sababu uuh usitoke na mimi
[Verse 2]
[TID]
Acha acha, acha kunisumbua
Nina haraka, rafiki waningoja
Niendapo kamwe wewe hapakufai
Mke wangu tulia nyumbani
Acha wewe kisirani, kurudi leo nitawahi
[Lady Jay Dee]
Kila siku we sababu kurudi hapa usiku
Ukirudi taabani, maisha gani jamani!
Mbona waume wengine waenda na wake zao?
Rafikizo na wake zao, wewe mwenzangu na nani mwingine?
[Chorus]
[TID]
What I need from you is understanding (understanding)
Nachotaka toka kwako maelewano (maelewano)
Ugomvi kila siku na maneno (oh no)
Nimechoka ah! Nataka maelewano
[Lady Jay Dee]
All I need from you is understanding (understanding.. standing)
Kwani kila ifikapo mwisho wa wiki (mmh yeah)
Vitimbi, vitimbi, vitimbi na mikiki
Ndio sababu uuh usitoke na mimi

No comments:

Post a Comment