Thursday, 21 July 2016

NGOMA ZETU LYRICS BY LADY JAY DEE FT NAKO 2 NAKO

[Intro – Lord Eyez]
Aah!
Acha masela tour kali, hapa na kila mahali
Parlie bila mademu hiyo huwaga sio shwari
Tuna-bang ndani ya kitaa, tuna-bang kila mahali
Moja, mbili… okay usijali
[Chorus – Lady Jay Dee]
Nyimbo, nyimbo zetu nyimbo
Nyimbo tuziimbeni
Ngoma, ngoma zetu ngoma
Ngoma tuzichezeni
[Verse 1]
Rolls kwa bank, ma-groupie dizaina ya Tyra Banks
Huku tukisikilizia miziki za way back
Za watu ka Remmy Ongala, Amza Kalala
Daudi Kabaka
Tukipiss ka in the 60s utatutaka
Ngoma zetu zinawa-bang tunawakimbiza mchaka mchaka
Ziko kibao, nyingine tunaona bora tutoe sadaka
Ma-fans tunawapa wanachotaka
[Verse 2 – Lady Jay Dee]
Ni nyumbani siwezi ondoka
Naridhika na nachokipata
Hata nikisafiri mara kwa mara
Lakini usi-mix
[Chorus – Lady Jay Dee]
Nyimbo, nyimbo zetu nyimbo
Nyimbo tuziimbeni
Ngoma, ngoma zetu ngoma
Ngoma tuzichezeni
[Verse 3 – Lord Eyez]
Njooni tuchezeni nyimbo zetu, tuimbeni nyimbo zetu
Kuwakilisha taifa letu, kuwakilisha ndo zetu
Lady Jide na Nako, Tz ndo nembo yetu
Raisi Kikwete mtu wetu, amani sifa yetu
Tu-support za kwetu, waliwatesa babu zetu
Kwanini tunyenyekee, embu niambieni wazee
Kama wao kivyao, sisi tupambane tuendelee
Afrika ndani ya hii dunia tusimame tuitetee
Moja, mbili, mko tayari tuendelee?
[Verse 4 – Lady Jay Dee]
Nyimbo zimekomaa, sindimba kibao kata
Zipo kila mahala, hakuna hata mnanda
Eiyoh mdumange, mdundiko na ritungu
Kibao kata (hu!)
Mdundiko (haa!)
Sindimba (bila kusahau na mchiriku)
[Chorus – Lady Jay Dee]
Nyimbo, nyimbo zetu nyimbo
Nyimbo tuziimbeni
Ngoma, ngoma zetu ngoma
Ngoma tuzichezeni
[Bridge – Lady Jay Dee]
Tuzichezeni (aah!)
Mandugu Digital
41 Records!
N2N Soldiers
Komando Jide
Kibao kata (hu!)
Mdundiko (haa!)
Sindimba (bila kusahau na mchiriku)
[Chorus – Lady Jay Dee] x2
Nyimbo, nyimbo zetu nyimbo
Nyimbo tuziimbeni
Ngoma, ngoma zetu ngoma
Ngoma tuzichezeni

No comments:

Post a Comment