[Intro – Lord Eyez]
Aah!
Acha masela tour kali, hapa na kila mahali
Parlie bila mademu hiyo huwaga sio shwari
Tuna-bang ndani ya kitaa, tuna-bang kila mahali
Moja, mbili… okay usijali
Aah!
Acha masela tour kali, hapa na kila mahali
Parlie bila mademu hiyo huwaga sio shwari
Tuna-bang ndani ya kitaa, tuna-bang kila mahali
Moja, mbili… okay usijali
[Chorus – Lady Jay Dee]
Nyimbo, nyimbo zetu nyimbo
Nyimbo tuziimbeni
Ngoma, ngoma zetu ngoma
Ngoma tuzichezeni
Nyimbo, nyimbo zetu nyimbo
Nyimbo tuziimbeni
Ngoma, ngoma zetu ngoma
Ngoma tuzichezeni
[Verse 1]
Rolls kwa bank, ma-groupie dizaina ya Tyra Banks
Huku tukisikilizia miziki za way back
Za watu ka Remmy Ongala, Amza Kalala
Daudi Kabaka
Tukipiss ka in the 60s utatutaka
Ngoma zetu zinawa-bang tunawakimbiza mchaka mchaka
Ziko kibao, nyingine tunaona bora tutoe sadaka
Ma-fans tunawapa wanachotaka
Rolls kwa bank, ma-groupie dizaina ya Tyra Banks
Huku tukisikilizia miziki za way back
Za watu ka Remmy Ongala, Amza Kalala
Daudi Kabaka
Tukipiss ka in the 60s utatutaka
Ngoma zetu zinawa-bang tunawakimbiza mchaka mchaka
Ziko kibao, nyingine tunaona bora tutoe sadaka
Ma-fans tunawapa wanachotaka
[Verse 2 – Lady Jay Dee]
Ni nyumbani siwezi ondoka
Naridhika na nachokipata
Hata nikisafiri mara kwa mara
Lakini usi-mix
Ni nyumbani siwezi ondoka
Naridhika na nachokipata
Hata nikisafiri mara kwa mara
Lakini usi-mix
[Chorus – Lady Jay Dee]
Nyimbo, nyimbo zetu nyimbo
Nyimbo tuziimbeni
Ngoma, ngoma zetu ngoma
Ngoma tuzichezeni
Nyimbo, nyimbo zetu nyimbo
Nyimbo tuziimbeni
Ngoma, ngoma zetu ngoma
Ngoma tuzichezeni
[Verse 3 – Lord Eyez]
Njooni tuchezeni nyimbo zetu, tuimbeni nyimbo zetu
Kuwakilisha taifa letu, kuwakilisha ndo zetu
Lady Jide na Nako, Tz ndo nembo yetu
Raisi Kikwete mtu wetu, amani sifa yetu
Tu-support za kwetu, waliwatesa babu zetu
Kwanini tunyenyekee, embu niambieni wazee
Kama wao kivyao, sisi tupambane tuendelee
Afrika ndani ya hii dunia tusimame tuitetee
Moja, mbili, mko tayari tuendelee?
Njooni tuchezeni nyimbo zetu, tuimbeni nyimbo zetu
Kuwakilisha taifa letu, kuwakilisha ndo zetu
Lady Jide na Nako, Tz ndo nembo yetu
Raisi Kikwete mtu wetu, amani sifa yetu
Tu-support za kwetu, waliwatesa babu zetu
Kwanini tunyenyekee, embu niambieni wazee
Kama wao kivyao, sisi tupambane tuendelee
Afrika ndani ya hii dunia tusimame tuitetee
Moja, mbili, mko tayari tuendelee?
[Verse 4 – Lady Jay Dee]
Nyimbo zimekomaa, sindimba kibao kata
Zipo kila mahala, hakuna hata mnanda
Eiyoh mdumange, mdundiko na ritungu
Kibao kata (hu!)
Mdundiko (haa!)
Sindimba (bila kusahau na mchiriku)
Nyimbo zimekomaa, sindimba kibao kata
Zipo kila mahala, hakuna hata mnanda
Eiyoh mdumange, mdundiko na ritungu
Kibao kata (hu!)
Mdundiko (haa!)
Sindimba (bila kusahau na mchiriku)
[Chorus – Lady Jay Dee]
Nyimbo, nyimbo zetu nyimbo
Nyimbo tuziimbeni
Ngoma, ngoma zetu ngoma
Ngoma tuzichezeni
Nyimbo, nyimbo zetu nyimbo
Nyimbo tuziimbeni
Ngoma, ngoma zetu ngoma
Ngoma tuzichezeni
[Bridge – Lady Jay Dee]
Tuzichezeni (aah!)
Mandugu Digital
41 Records!
N2N Soldiers
Komando Jide
Kibao kata (hu!)
Mdundiko (haa!)
Sindimba (bila kusahau na mchiriku)
Tuzichezeni (aah!)
Mandugu Digital
41 Records!
N2N Soldiers
Komando Jide
Kibao kata (hu!)
Mdundiko (haa!)
Sindimba (bila kusahau na mchiriku)
[Chorus – Lady Jay Dee] x2
Nyimbo, nyimbo zetu nyimbo
Nyimbo tuziimbeni
Ngoma, ngoma zetu ngoma
Ngoma tuzichezeni
Nyimbo, nyimbo zetu nyimbo
Nyimbo tuziimbeni
Ngoma, ngoma zetu ngoma
Ngoma tuzichezeni
No comments:
Post a Comment