[Chorus]
Mwambie wataka kuja
Huru apate kuachia
Maamuzi yako upange
Bila kuwa wake upande
Huoni we wateseka?
Kwake u kama mateka
Wahitaji pumziko
Nipo kwa ajili yako
Mwambie wataka kuja
Huru apate kuachia
Maamuzi yako upange
Bila kuwa wake upande
Huoni we wateseka?
Kwake u kama mateka
Wahitaji pumziko
Nipo kwa ajili yako
[Verse 1]
Umkalishe kitako
Sema nae taratibu
Hii nafasi ni yako
Usijitie aibu
Kwani na mimi mwenzako
Nasubiri kukutibu
Sitochoka kusubiri
Hadi unipe majibu
Umkalishe kitako
Sema nae taratibu
Hii nafasi ni yako
Usijitie aibu
Kwani na mimi mwenzako
Nasubiri kukutibu
Sitochoka kusubiri
Hadi unipe majibu
[Chorus]
Mwambie wataka kuja
Huru apate kuachia
Maamuzi yako upange
Bila kuwa wake upande
Huoni we wateseka?
Kwake u kama mateka
Wahitaji pumziko
Nipo kwa ajili yako
Mwambie wataka kuja
Huru apate kuachia
Maamuzi yako upange
Bila kuwa wake upande
Huoni we wateseka?
Kwake u kama mateka
Wahitaji pumziko
Nipo kwa ajili yako
Njoo nikupe fundisho
Achana na vyake vituko
Nipo kwa ajili yako
Njoo upate pumziko
Achana na vyake vituko
Nipo kwa ajili yako
Njoo upate pumziko
[Verse 2]
Hana mapenzi juu yako
Kwako yeye miyeyusho
Wahitaji suluhisho
Achana na vituko
Nini anataka kwako?
Muulize akueleze
Sitochoka kusubiri
Hadi unipe-unipe-unipe majibu
Hana mapenzi juu yako
Kwako yeye miyeyusho
Wahitaji suluhisho
Achana na vituko
Nini anataka kwako?
Muulize akueleze
Sitochoka kusubiri
Hadi unipe-unipe-unipe majibu
[Chorus]
Mwambie wataka kuja
Huru apate kuachia
Maamuzi yako upange
Bila kuwa wake upande
Huoni we wateseka?
Kwake u kama mateka
Wahitaji pumziko
Nipo kwa ajili yako
Mwambie wataka kuja
Huru apate kuachia
Maamuzi yako upange
Bila kuwa wake upande
Huoni we wateseka?
Kwake u kama mateka
Wahitaji pumziko
Nipo kwa ajili yako
Njoo nikupe fundisho
Achana na vyake vituko
Nipo kwa ajili yako
Njoo upate pumziko
Achana na vyake vituko
Nipo kwa ajili yako
Njoo upate pumziko
Mmh, aah, ah ah
Mmh, aah
Mmh, aah
[Chorus]
Mwambie wataka kuja (uh mwambie)
Huru apate kuachia
Maamuzi yako upange
Bila kuwa wake upande (bila kuwa wake upande)
Huoni we wateseka? (wa… teseka)
Kwake u kama mateka
Wahitaji pumziko
Nipo kwa ajili yako
Mwambie wataka kuja (uh mwambie)
Huru apate kuachia
Maamuzi yako upange
Bila kuwa wake upande (bila kuwa wake upande)
Huoni we wateseka? (wa… teseka)
Kwake u kama mateka
Wahitaji pumziko
Nipo kwa ajili yako
Mwambie wataka kuja
No comments:
Post a Comment