Friday, 22 July 2016

MUHOGO WA JANG'OMBE LYRICS BY LADY JAY DEE


[Chorus]
Muhogo wa Jang’ombe, sijaulamba mwiko
Usitukane wakunga na uzazi ungalipo
Muhogo wa Jang’ombe, sijaulamba mwiko
Usitukane wakunga na uzazi ungalipo
[Verse 1]
Hadi tamati naapa muhogo sitonunua
Haikuwa Maimuna aliyekwenda ung’oa
Hadi tamati naapa muhogo sitonunua
Haikuwa Maimuna aliyekwenda ung’oa
Kapata tetekuwanga na ugonjwa wa surua
Muhogo wa Jang’ombe, sijaulamba mwiko
Usitukane wakunga na uzazi ungalipo
[Chorus]
Muhogo wa Jang’ombe, sijaulamba mwiko
Usitukane wakunga na uzazi ungalipo
Muhogo wa Jang’ombe, sijaulamba mwiko
Usitukane wakunga na uzazi ungalipo
[Verse 2]
Kula dori kula dori mshindo wa sufuria
Guriri guriri kofia inavuliwa
Kula dori kula dori mshindo wa sufuria
Guriri guriri kofia inavuliwa
Ndie mimi ndie mimi afatae ukoa
Muhogo wa Jang’ombe, sijaulamba mwiko
Usitukane wakunga na uzazi ungalipo
[Chorus]
Muhogo wa Jang’ombe, sijaulamba mwiko
Usitukane wakunga na uzazi ungalipo
Muhogo wa Jang’ombe, sijaulamba mwiko
Usitukane wakunga na uzazi ungalipo
[Verse 3]
Mtu akitaka kupa, hakuletei barua
Hukupa usingizini pasi mwenyewe kujua
Mtu akitaka kupa, hakuletei barua
Hukupa usingizini pasi mwenyewe kujua
Kwenda mbio si kupata, bure unajisumbua
Muhogo wa Jang’ombe, sijaulamba mwiko
Usitukane wakunga na uzazi ungalipo
[Chorus]
Muhogo wa Jang’ombe, sijaulamba mwiko
Usitukane wakunga na uzazi ungalipo
Muhogo wa Jang’ombe, sijaulamba mwiko
Usitukane wakunga na uzazi ungalipo
[Verse 4]
Mkato wake matege wakati anapokuja
Aliiweka dhamiri ya kumvulia koda
Mkato wake matege wakati anapokuja
Aliiweka dhamiri ya kumvulia koda
Wallahi nimeghairi, kiumbe hana mmoja
Muhogo wa Jang’ombe, sijaulamba mwiko
Usitukane wakunga na uzazi ungalipo
[Chorus]
Muhogo wa Jang’ombe, sijaulamba mwiko
Usitukane wakunga na uzazi ungalipo
Muhogo wa Jang’ombe, sijaulamba mwiko
Usitukane wakunga na uzazi ungalipo
[Verse 5]
Kamfunge kamfunge beberu wa Athumani
Umfunge umfunge pahala panapo jani
Kamfunge kamfunge beberu wa Athumani
Umfunge umfunge pahala panapo jani
Endaeke sina hofu, atarejea ngamani
Muhogo wa Jang’ombe, sijaulamba mwiko
Usitukane wakunga na uzazi ungalipo
[Chorus]
Muhogo wa Jang’ombe, sijaulamba mwiko
Usitukane wakunga na uzazi ungalipo
Muhogo wa Jang’ombe, sijaulamba mwiko
Usitukane wakunga na uzazi ungalipo
[Verse 6]
Sina ngoa sina ngoa, kuwa daiwa sitaki
Ni mwerevu ni mwerevu, wallahi sihadahiki
Sina ngoa sina ngoa, kuwa daiwa sitaki
Ni mwerevu ni mwerevu, wallahi sihadahiki
Pambanua pambanua, viwili havipendeki
Muhogo wa Jang’ombe, sijaulamba mwiko
Usitukane wakunga na uzazi ungalipo
[Chorus] x2
Muhogo wa Jang’ombe, sijaulamba mwiko
Usitukane wakunga na uzazi ungalipo
Muhogo wa Jang’ombe, sijaulamba mwiko
Usitukane wakunga na uzazi ungalipo

No comments:

Post a Comment