Tuesday, 19 July 2016

NIMPENDE NANI LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ


Nimpende nani, Nimpende eh

Nimpende nani, Nimpende ah ah
Nimpende nani, Nimpende eh
Nimpende nani, Nimpende ah ah



...we nlikuaga na mupenzi, akanizingua

Hivyo nataka muenzi, wala maradhi naugua
isije siku miezi, naye akanisumbua
ikawa tena kitenzi, mzigo kuutua



Naogopa sana vichanga wa sasa kwenye mapenzi wasije wakanitenda

Nikazama na huku nna mapenzi ya kweli, wakaniacha wakaenda
We si unajua, wazuri ni wengi lakini kumpata mwenye mapenzi ya ukweli ndo balaa
wengi ni wajanja watoto wa mjini, wamejawa utapeli, Tamaa
wazuri ni wengi lakini kumpata mwenye mapenzi ya ukweli ndo balaa
wengi ni wajanja watoto wa mjini, Nimpende nani?



Nimpende nani, Nimpende eh

Nimpende nani, Nimpende ah ah
Nimpende nani, Nimpende eh
Nimpende nani, Nimpende ah ah



Yasiwe kama ya Wema Sepetu, kila siku magazeti

Ajue nidhamu na mila ya kwetu, Mjuzi kupeti-peti
Usimtake ka' Uwoya nimteme ana hasira, Mpole kama Jokate
Ila sauti ka' Wema akiwa analia, kicheko kama cha fetty



Naogopa sana vichanga wa sasa kwenye mapenzi wasije wakanitenda

Nikazama na huku nna mapenzi ya kweli, wakaniacha wakaenda
We si unajua, wazuri ni wengi lakini kumpata mwenye mapenzi ya ukweli ndo balaa
wengi ni wajanja watoto wa mjini, wamejawa utapeli, Tamaa
wazuri ni wengi lakini kumpata mwenye mapenzi ya ukweli ndo balaa
wengi ni wajanja watoto wa mjini, Nimpende nani?



Nimpende nani, Nimpendee eh

Nimpende nani, Nimpende ah ah
Nimpende nani, Nimpendee eh
Nimpende nani, Nimpende ah ah



we nlikuaga na mupenzi, akanizungua

Hivyo nataka muenzi, wala maradhi naugua
we nlikuaga na mupenzi, akanizungua
Hivyo nataka muenzi, wala maradhi naugua

No comments:

Post a Comment