Tuesday, 19 July 2016

MAPENZI BASI LYRICS BY DIAMOND PLATINUMZ


Chorus x2]


Mi mwenzenu tena basi

Oh mapenzi sitaki
Oh mwenzenu tena basi
Basi sitaki


[Verse 1]


Yalinifanya nikaugua

Mara napanga napangua
Mwili ukakonda nikapungua
Ah sikulala, sikulala
Oh maradhi nikaugua oh
Yakanichoma na kuungua roho
Kutwa nawaza na kuwazua
Sikulala


[Bridge]


Hayo mapenzi bwana, hayana maana

Yalinifanya mi nichekwe
Sababu yake nshagombana, nikatukanwa
Lakini akanipiga teke
Ai haya mapenzi bwana, hayana maana
Yalinifanya mi nichekwe
Sababu yake nkagombana, usiku mchana
Yeye


[Chorus x2]


Mi mwenzenu tena basi

Oh mapenzi sitaki
Oh mwenzenu tena basi
Basi sitaki


[Verse 2]


Oh nilishagombana na mama mzazi

Akataka nimwagia radhi
Sababu yule fulani, yule wa moyo wangu
Yakaleta zengwe kwa kazi
Ugomvi wa simba na panzi
Vurugu kwa majirani
Ah, ee Mola wangu


[Bridge]


Hayo mapenzi bwana, hayana maana

Yalinifanya mi nichekwe
Sababu yake nshagombana, nikatukanwa
Lakini akanipiga teke
Ai haya mapenzi bwana, hayana maana
Yalinifanya mi nichekwe
Sababu yake nkagombana, usiku mchana
Yeye


[Chorus x2]


Mi mwenzenu tena basi

Oh mapenzi sitaki
Oh mwenzenu tena basi
Basi sitaki

No comments:

Post a Comment