Tuesday, 26 July 2016

Naimani lyrics by Rich mavoko

[Intro]
Ayaah
Boy David!
MAVOKO!
[Verse 1]
Mmnh!
Kunani mboni zinaumia
Kuna mengi yanayonikwaza
Nalalamika ndani huku nalia
Japo usoni mi nachekaga
Nasikia mapenzi kikohozi
Ombeni nakonda na TB
Almanusura uzima nisije kata kauli
Na kumuacha siwezi kwa mutima kashakuwa nguli
Kanifinyanga mazima penzi limebaki kivuli
[Pre-Chorus]
Japo pombe nakunywa, cha ajabu silewi
Zinazidisha mawazo haki ya Mungu sielewi
Mwenzenu pombe nakunywa, cha ajabu silewi
Zimezidisha mawazo, mawazo
[Chorus]
Nami naimani nawe
Naimani na
Naimani we ndo mtuliza mawazo
Mi naimani nawe
Naimani na
Naimani we ndo mtuliza mawazo
[Verse 2]
Sina kilanga penzi si nguo
Kuazimana haramu
Na ikibidi mueleze
Nilishafungwa chunga chungio
Kinachokupa utamu ndo kitakupa mawenge
Napepesa macho ili ning’amue lolote
Mapenzi ni utundu anaeza akaachwa yeyote
Kuonja sunaah, mi njonjo sinaa
Ukweli unaempenda ndo anauma
[Pre-Chorus]
Japo pombe nakunywa, cha ajabu silewi
Zinazidisha mawazo haki ya Mungu sielewi
Mwenzenu pombe nakunywa, cha ajabu silewi
Zimezidisha mawazo, mawazo
[Chorus]
Nami naimani nawe
Naimani na
Naimani we ndo mtuliza mawazo
Mi naimani nawe
Naimani na

Naimani we ndo mtuliza mawazo
[Bridge]
Mwenzenu kauli mi sina (mama wee)
Yakinizidi nazima (mama wee)
Nashindwa kusema (mama wee)
Ikibidi umwambie
Kanikoleza mazima (mama wee)
Hakuna alichoninyima (mama wee)
Amenitema mapema (mama wee)
Ikibidi umwambie
Kesho nampa na bima (mama wee)
Anitulize mutima (mama wee)
Nimpe lunch na dinner (mama wee)
Ikibidi umwambie
[Outro]
Mama wee
Mama wee
Mama wee
Ikibidi umwambie eeh
Aah! B Daddy

No comments:

Post a Comment