Mpenzi, mpenzi
Mpenzi wewe (wewe)
Mpenzi wewe mpenzi wewe
Mpenzi wewe mpenzi wewe
Verse 1
Nieleze vipi mimi ntaweza kuishi bila wewe
Ukiniacha ukienda zako, penzi wewe
Kama ni ukweli, yale nasikia kwa majirani
Ya kwamba utakuja kwenda zako
Uliniahidi, tutakuwa tukijadiliana
Na maswali yangeleta utata
Kwa nini chinichini
Unanificha yanayokusinya
Lakini unayosema, ni majirani
Kwa nini kando kando
Unanificha yanayokuudhi
Lakini unayateta kwa marafiki
Ukiniacha mi ntalia
Ukienda zako ntabaki naumia
Kama ungelijua
Uoga ni lao, kukupoteza
Ndio nasema, baby
CHORUS
Nakuomba please ubaki nami Nasema penzi
Nakuomba ubaki, tujaribu tena, tunayo nafasi
Ya kuanza tena Tunayo nafasi
Ya kujikosoa, haturudi nyuma kamwe
Haturudi nyuma kamwe
Juliana wee
Juliana wee
Verse 2
watu wanasema kama karibuni wee unaoa tena
ya kwamba nianze kujipanga si ukweli, nimekataa
ni tahadhari kubwa kwangu, na unanitisha
sijui nimekosea wapi uliniahidi kama kila jambo lote la nyumbani
ni muhimu kuliweka wazi Ni kuki shenge
Uguma buri gihe umbabaza Kandi uzi ko ngukunda
Ni kuki rukundo Uguma untera umujinya Ukica amatwi ngukunda
Ukiniacha mi ntalia Ukienda zako ntabaki naumia
Kama ungelijua Uoga ni lao, kukupoteza
Ndio nasema, baby
CHORUS
Nakuomba please ubaki nami Nasema penzi
Nakuomba ubaki, tujaribu tena, tunayo nafasi
Ya kuanza tena Tunayo nafasi
Ya kujikosoa, haturudi nyuma kamwe
Juliana wee
No comments:
Post a Comment