Tuesday, 26 July 2016

Kisiwa cha malavidavi lyrics by Z-Anto

[Verse 1]
Ni ukweli nilikuwa napenda sana
Mechi za nje za ujana
Aliyekuwa mke wangu, analia aah
Ni ukweli nilikuwa napenda sana vibinti
Nakuwahonga mpaka magari

[Bridge]
Mitungi kila saa
Nyumbani sina time ya kukaa
Marafiki nami
Night club na mimi

[Pre-Chorus] x2
Sasa nimebaki lonely
Track redioni hazichezwi
Yaani pesa hakuna, marafiki hakuna
Hata baby hunitaki tena

[Chorus] x2
Nakupenda aiyaa
Nakupenda sana baby
Nakuhitaji mama mama
Njoo kisiwa cha malavidavi

[Verse 2]
Sielewi tena nisikilize ma
Kwani najua pombe ndiyo chanzo ah
Kilichofanya nikutende dharau kibao
Ndani ya nyumba hakuna raha
Na kwangu ulikuwa dhaifu nisikilize ma
Kwani najua kweli ulinipenda ah
Watoto wangu niliwatenga
Nisamehe mpenzi we unasema

[Bridge]
Sitaki rudia tena
Najuta kwa yote niliyofanya
Nisamehe na goti napiga, nalia ahh

[Pre-Chorus] x2
Sasa nimebaki lonely
Track redioni hazichezwi
Yaani pesa hakuna, marafiki hakuna
Hata baby hunitaki tena

[Chorus] x2
Nakupenda aiyaa
Nakupenda sana baby
Nakuhitaji mama mama
Njoo kisiwa cha malavidavi

[Outro]
Uje kwenye kisiwa cha malavidavi
Uje tupeane mapenzi
Usisahau na wanangu

No comments:

Post a Comment