[Intro]
If you got cars, you got money
You're held up, you should call on Him
You got cars, you got money
You got cars
EMB records
[Chorus]
Ching ching ching cheza na dawa
Ching ching ching cheza na dawa
Ching ching ching cheza na dawa
Ching ching ching Yesu ndio dawa
Ching ching ching cheza na dawa
Ching ching ching cheza na dawa
Ching ching ching cheza na dawa
Ching ching ching Yesu ndio dawa
[Verse 1]
Aliponyaga vipofu na wale, aah
'Katembea juu ya maje
Ddhambi zetu akatupia mbale
Alishinda Calvary
Aliponyaga vipofu na wale, aah
'Katembea juu ya maje
Ddhambi zetu akatupia mbale
Alishinda Calvary
Zaidi ya panadol, 'cetamol damu yake inaponya more
Zaidi ya panadol, 'cetamol nimeponywa ndio nacheza low, oh
[Chorus]
Ching ching ching cheza na dawa
Ching ching ching cheza na dawa
Ching ching ching cheza na dawa
Ching ching ching Yesu ndio dawa
Ching ching ching cheza na dawa
Ching ching ching cheza na dawa
Ching ching ching cheza na dawa
Ching ching ching Yesu ndio dawa
[Verse 2]
Cheka haha
A (aah) BCD (eeh) vijijini mpaka CBD
Hii injili ifike VCT (aah) Yesu anaponya mpaka HIV
A (hey) BCD vijijini mpaka CBD
Hii injili ifike VCT Yesu anaponya mpaka HIV
If you got cars, you got money
You're held up, you should call on Him
You got cars, you got money
You got car...
[Chorus]
Ching ching ching cheza na dawa
Ching ching ching cheza na dawa
Ching ching ching cheza na dawa
Ching ching ching Yesu ndio dawa
Ching ching ching cheza na dawa
Ching ching ching cheza na dawa
Ching ching ching cheza na dawa
Ching ching ching Yesu ndio dawa
Zaidi ya panadol, 'cetamol damu yake inaponya more
Zaidi ya panadol, 'cetamol nimeponywa ndio nacheza low, oh
If you got cars, you got money
You're held up, you should call on Him
You got cars, you got money
You got car
Ching ching ching
a
Friday, 20 April 2018
Wednesday, 18 April 2018
BORA NIFE LYRICS BY ASLAY FT BAHATI
Mwili
umejaa vidonda donda ,Kisa kupenda aah
Naitwa
bwege, naishi kwa kuonga onga
sabuni
chooni namaliza mimi
kwa nini
jamani
kama
mwajuma
nilimpa simu, cha ajabu kanipora
salima
hataki mapenzi, anataka pochi
magugu
avelina
baada ya
kumpa gari, eti hanitaki
nguvu sina
eeh woololoh aih
bora nife,
huenda
nitakumbuka pengine mmh
bora nife,
huenda
nitakumbuka pengine ai
kwani
nasubiri nini duniani, nasubiri nini
kwani
nasubiri nini duniani, nasubiri nini aaih
BAHATI
Ai
niliempendaga mwenzagu, Akaumiza roho yangu tu
Kaniwazisha
niwe padre, Nihudumie kanisani
Aah aaah
Nikaongopaga
mapenzi tu
Tena usiwe
unasumbuka, Kutoa uhai
ASLAY Ya
nini
BAHATI
Usije
mlaumu aliyekuacha zamani
ASLAY
Zamani
BAHATI
Ukikata na
roho, Utajibu nini
Siku ya
kihama, Kama dayana
ASLAY
Nilimpa
simu cha ajabu Kanipora
Penina
hataki mapenzi, Anataka pochi
Mamaivana
baada ya kumpa gari Eti hanitaki
Nguvu sina eeh
woololoh ai
Bora nife,Bora
nife
Huenda
nitakumbuka pengine, Labda nitakumbuka ai
Bora nife,Bora
nife
Huenda
nitakumbuka pengine, Labda nitakumbuka ai
Usiseme
usiseme
nasubiri nini duniani, Nasubiri nini duniani
usiseme
nasubiri nini duniani, Nasubiri nini duniani
Japo
ujaniwishigi Kwenye birthday yangu
Ila usikose
mazishi, Kwenye msiba wangu ooh
Japo
ujaniwishigi, Kwenye birthday yangu
Ila usikose
mazishi, Kwenye msiba wangu ooh
a
Monday, 9 April 2018
PILIPILI LYRICS BY WILLY PAUL FT HARMONIZE
Intro: Willy Paul & Harmonize]
Willy willy willy
Willy Pozzee
Harmonize na Willy Pozzee
Teddy B
Wasafi
[Verse 1: Willy Paul]
Pesa sio kila kitu alinifunza mama, eeh
Heshima ndio kila kitu walishasema wahenga, eeh
Ukifuata magari, utapotea baby, we'
Ukifuata mapeni, utapotea
Mbona nikuite malaika, na tabia zako haziambatani
Mbona nikuite mama yao, na watoto wako umewatupa
Mbona nikuite chocolate *** umewa shubiri
[Chorus: Willy Paul & Harmonize]
Uwe pilipili we' (ololo, ololo)
Unaniumiza moyo (ololo)
Uwe pilipili we' (ololo, ololo)
Unaniumiza moyo (ololo)
Uwe pilipili pilipili pilipili wewe (ololo, ololo, ololo)
Pilipili pilipili pilipili we' (ololo, ololo, ololo)
[Verse 2: Harmonize]
Tupige goti tusali, tufanye dua, eeh
Kwetu afadhali, wenzetu wanaugua, eeh
Uh, tukipata siri letu, hata tukikosoa, eeh
Wasije vunja penzi letu, wakupe **
Kama nikikuudhi nisamehe (haya)
Penzi letu liendelee (haya)
Usije anzisha tafarani, kisa sina kitu
Uwape mwanya kina fulani, wako ufungue zipu
Pilipili
[Chorus 2: Willy Paul & Harmonize]
Uwe pilipili we' (ololo, ololo)
Unaniumiza moyo (ololo)
Utaniumiza mama
Uwe pilipili we' (ololo, ololo)
Unaniumiza moyo (ololo)
Nakupenda sana
Uwe pilipili pilipili pilipili wewe (ololo, ololo, ololo)
Utaratibu ma', oh
Pilipili pilipili pilipili we' (ololo, ololo, ololo)
Utaratibu ma'
[Verse 3: Willy Paul & Harmonize, Both]
Mke wangu leo sina, (tulia) kesho nitampata, eeh (tulia)
Kwa uwezao wa Muumba, (tulia) najua nitampa..., eeh
My heartbeat, eeh, aay, aay (ololo, ololo,ololo)
My chocolate, eeh (ololo) nikama kitabu nifiche
My heartbeat, eeh, aay, aay(ololo, ololo,ololo)
My chocolate, eeh, aay (ololo, ololo, ololo)
Unatamani sana sura kung'ara kama Shusho
Twakufanya ung'are
Unatamani vazi ikae ni kama namba nane
Twakufanya ung'are
Usije cheza na moyo wangu mama (tulia)
Utaniumiza mama (tulia)
My mamama mama
Nakupenda sana
I swear I love you
Utaratibu mama
Utaratibu mama
Utaratibu mama
[Outro: Harmonize]
Ololo ololo ololo
Ololo ololo ololo
Ololo ololo ololo
Ololo ololo ololo
Willy willy willy
Willy Pozzee
Harmonize na Willy Pozzee
Teddy B
Wasafi
[Verse 1: Willy Paul]
Pesa sio kila kitu alinifunza mama, eeh
Heshima ndio kila kitu walishasema wahenga, eeh
Ukifuata magari, utapotea baby, we'
Ukifuata mapeni, utapotea
Mbona nikuite malaika, na tabia zako haziambatani
Mbona nikuite mama yao, na watoto wako umewatupa
Mbona nikuite chocolate *** umewa shubiri
[Chorus: Willy Paul & Harmonize]
Uwe pilipili we' (ololo, ololo)
Unaniumiza moyo (ololo)
Uwe pilipili we' (ololo, ololo)
Unaniumiza moyo (ololo)
Uwe pilipili pilipili pilipili wewe (ololo, ololo, ololo)
Pilipili pilipili pilipili we' (ololo, ololo, ololo)
[Verse 2: Harmonize]
Tupige goti tusali, tufanye dua, eeh
Kwetu afadhali, wenzetu wanaugua, eeh
Uh, tukipata siri letu, hata tukikosoa, eeh
Wasije vunja penzi letu, wakupe **
Kama nikikuudhi nisamehe (haya)
Penzi letu liendelee (haya)
Usije anzisha tafarani, kisa sina kitu
Uwape mwanya kina fulani, wako ufungue zipu
Pilipili
[Chorus 2: Willy Paul & Harmonize]
Uwe pilipili we' (ololo, ololo)
Unaniumiza moyo (ololo)
Utaniumiza mama
Uwe pilipili we' (ololo, ololo)
Unaniumiza moyo (ololo)
Nakupenda sana
Uwe pilipili pilipili pilipili wewe (ololo, ololo, ololo)
Utaratibu ma', oh
Pilipili pilipili pilipili we' (ololo, ololo, ololo)
Utaratibu ma'
[Verse 3: Willy Paul & Harmonize, Both]
Mke wangu leo sina, (tulia) kesho nitampata, eeh (tulia)
Kwa uwezao wa Muumba, (tulia) najua nitampa..., eeh
My heartbeat, eeh, aay, aay (ololo, ololo,ololo)
My chocolate, eeh (ololo) nikama kitabu nifiche
My heartbeat, eeh, aay, aay(ololo, ololo,ololo)
My chocolate, eeh, aay (ololo, ololo, ololo)
Unatamani sana sura kung'ara kama Shusho
Twakufanya ung'are
Unatamani vazi ikae ni kama namba nane
Twakufanya ung'are
Usije cheza na moyo wangu mama (tulia)
Utaniumiza mama (tulia)
My mamama mama
Nakupenda sana
I swear I love you
Utaratibu mama
Utaratibu mama
Utaratibu mama
[Outro: Harmonize]
Ololo ololo ololo
Ololo ololo ololo
Ololo ololo ololo
Ololo ololo ololo
Subscribe to:
Posts (Atom)
-
Verse 1 Pombe ni kichwa kinauma, kishalewa, anajipoza na maji Na mimi hata muda sina, nishamkanya, ninasikiza mamelody Nis...
-
[Chorus] Watu walishachonga sana Eti Vailet simpati tena Na kuongea uzushi bwana Kwa kuona mambo yetu yananyooka Hata kiss, hug si...