Tuesday 16 August 2016

KOSA LANGU LYRICS BY DIAMOND PLATINUMZ


 kosa langu lyrics by diamond platinumz

New bongo audio release by diamond platinumz...
 listen it here 


lyrics Will be available here soon..

1 comment:

  1. Barua yako ulioituma kwa recab docomo nimeisoma
    ila nimechelewa kuijibu sababu moyoni imenichoma
    niliyoyategemea tofauti na nlicho kiona
    hata naandikia hii barua huku royo yangu inansonona
    umesema nchane nguo,hiyo funguo umeirudisha sawa,
    simu niziekee kituo,na sio chaguo,nikome kabisa sawa
    umesema hata ile picha nzuri nlokukumbatia nifute sawa
    ila kinacho niumiza mbona moja umeseahau

    kosa langu kosa langu hujanambia
    donda moyo ndani yangu, naumia
    kosa langu kosa langu hujanambia
    donda moyo ndani yangu, naumiaaaaa



    umekuwa kama ndoto,faraja moto ila hujaliona
    naponda mpaka kokoto, napata msoto,inaniuma
    ona yule,na pesa ulimpatia, kiwanja ukamnunulia,na gari ya kutembelea,akakumbia
    yule,na pesa ulimpatia, kiwanja ukanunulia,na gari ya kutembelea,akakumbia


    Mbona ukanichimbia kaburi ningali bado mzima
    nife nizikwe vizuri nipotee kabisaa kimyaa
    licha matendo mazuri upendo na heshima
    watu wakachochea tanuri ukachoma wangu mtima

    natamani hata ngepata nafasi muda wakati kukutazama
    unione hata japo sura unitazame macho yangu
    mwenzako himili limenipiga kasi

    uliyonitendea yananiumiza nafsi
    ulinichoma mwiba wa koo
    kukuruduia naona sooooooo

    mwenzako hili limenipiga kasi

    uliyonitendea yananiumiza nafsi
    ulinichoma mwiba wa koo
    kukuruduia naona sooooooo

    umesema nchane nguo,hiyo funguo umeirudisha sawa,
    simu niziekee kituo,na sio chaguo,nikome kabisa sawa
    umesema hata ile picha nzuri nlokukumbatia nifute sawa
    ila kinacho niumiza mbona moja umeseahau

    kosa langu kosa langu hujanambia
    donda moyo ndani yangu, naumia
    kosa langu kosa langu hujanambia
    donda moyo ndani yangu, naumiaaaaa




    ReplyDelete