Hiha vuta pumz,wee
vuta pumz
Longombas
wanafanya mambo
Hiha vuta pumz
Longomba watetemesha
Avu avu avuta pumz
Jamani
nisikilizeni,eeeh
Mnisikilizeni,ah X2
Kuna wanawake
warembo
Wenye marasa na
mapaja na weupe
Ni wazuri kinyama
Jamani nisikilizeni,eeh,mnisikilizeni,ah
Jamaninisikilizini,eeh,mnisikilize,yeye
kuna wanaume wengi
wenye
vifua,warefu,wenye nguvu na ni wazuri kinyama lakini
tujichungepengine
wanayo mdudu wana wana wanatuacha wana
wana wanayo
Hiha vuta
pumz,we,vuta pumz,hiha,vuta pumz,we ,vuta pumz
CHORUS
Usimuone amejaza nyuma, ukadhani ako poa
Usione amerembeka ukadhani umefika
Usimuone ana pesa ,ukadhani umefika
Pengine anatuacha kesho anachora X2
Na kama mnayo si
mwisho wa maisha
Ni ugonjwa tu,kama
malaria meza dawa,
Piga tizi,kula
vizuri utaishi fiti
Maisha utayasukuma
eeeh aah namjinga usiyejua
Kujichunga kila shimo unaona unadunga hebu
jichunge kijana utakuja kufatukuzike langata
Paja usione
tu,’huyo ashainua’ kifua kisipite tu’
Huyo ashajigonga ‘tako
lisipite tu ‘huyo ashainua’ 2
Wee avuta pumz
,avuta pumz
No comments:
Post a Comment