Wednesday, 6 July 2016
UNANIWASHA LYRICS BY JAGUAR
Chorus
unaniwasha washa wee
unanivuta vuta wee
unanikanda kanda wee
hebu cheza kwa maringo wakuone
Verse 1
nipe hiyo time tuliza nare sista
ninayo furaha man
kama machizi
dada mzuri msupa
amejipa
amebeba mavitu man, sio mchezo
cheki venye ana-walk, venye ana-whizz
venye ana-smile na venye ana-talk
umenishika dada nimekubali
unipe hiyo boldness bila vikwazo
Chorus
unaniwasha washa wee
unanivuta vuta wee
unanikanda kanda wee
hebu cheza kwa maringo wakuone
Verse 2
figure yake noma sana Sanaipei
cheki figure na ma-bum...
anayo ma-pose, kama ya Ray C
cheki venye ana-pose...
umbo na sauti kama Beyonce
cheki venye ana-swing...
umbo na sauti kama Beyonce
cheki venye ana-swing...
Chorus
unaniwasha washa wee
unanivuta vuta wee
unanikanda kanda wee
hebu cheza kwa maringo wakuone
Verse 3
naku-mind mpenzi
tafadhali usinitese
nakupenda wee usinipe presha
sema tu, kile unachotaka
sema wimbo gani
when do you want it
oooh... oooh
nishike mkono wee usiniache
oooh... oooh... oooh
naku-mind mpenzi wee usinitese
Chorus
unaniwasha washa wee
unanivuta vuta wee
unanikanda kanda wee
hebu cheza kwa maringo wakuone
Verse 4
nipe hiyo time tuliza nare sista
ninayo furaha man
kama machizi
dada mzuri msupa
amejipa
amebeba mavitu man, sio mchezo
cheki venye ana-walk, venye ana-whizz
venye ana-smile na venye ana-talk
umenishika dada nimekubali
unipe hiyo boldness bila vikwazo
Chorus
unaniwasha washa wee
unanivuta vuta wee
unanikanda kanda wee
hebu cheza kwa maringo wakuone
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
Verse 1 Pombe ni kichwa kinauma, kishalewa, anajipoza na maji Na mimi hata muda sina, nishamkanya, ninasikiza mamelody Nis...
-
[Chorus] Watu walishachonga sana Eti Vailet simpati tena Na kuongea uzushi bwana Kwa kuona mambo yetu yananyooka Hata kiss, hug si...
No comments:
Post a Comment