[Intro]
Ayayayaa heey
Ayayayaa ayayaaya
Ayayayaa heey
Ayayayaa ayayaaya
[Verse 1]
Ningejua toka mwanzo we ulinipenda mi
Nisingewaza niliyowaza juu yako mamii
Ningejua ulitayari maisha yako we na mi
Nisingewaza labda we utaniumiza mi
Ningejua toka mwanzo we ulinipenda mi
Nisingewaza niliyowaza juu yako mamii
Ningejua ulitayari maisha yako we na mi
Nisingewaza labda we utaniumiza mi
[Pre-Chorus]
Nimetoka mbali mimi, na mapenzi nimeshalia
Maumivu yangu mimi, nikaelekeza kwako pia
Nikapuuza wema wako, labda pia we ni muongo
Nikaona ndo wale wale wakunitesa roho
Nimetoka mbali mimi, na mapenzi nimeshalia
Maumivu yangu mimi, nikaelekeza kwako pia
Nikapuuza wema wako, labda pia we ni muongo
Nikaona ndo wale wale wakunitesa roho
[Chorus]
Sorry sana aah, sorry sana aah
Sorry sanaa we ni mpenzi wangu
Sorry sana aah, sorry sana aah
Sorry sanaa we ni mpenzi wangu
Sorry sana aah, sorry sana aah
Sorry sanaa we ni mpenzi wangu
Sorry sana aah, sorry sana aah
Sorry sanaa we ni mpenzi wangu
[Verse 2]
Nilishaapa sitoingia tena upenzini
Nikajiamini lazma nije niishi peke yangu
Ujio wako kwangu mi niliona ni utani
Nikaona labda uje unipe mi company tu
Nilishaapa sitoingia tena upenzini
Nikajiamini lazma nije niishi peke yangu
Ujio wako kwangu mi niliona ni utani
Nikaona labda uje unipe mi company tu
[Pre-Chorus]
Umenibadilisha mengi, umenisahaulisha mengi
Sikukudhamini mwanzo, nakulipiza kwa upendo
Nilipuuza wema wako, labda pia we ni muongo
Nikaona ndo wale wale wakunitesa roho
Umenibadilisha mengi, umenisahaulisha mengi
Sikukudhamini mwanzo, nakulipiza kwa upendo
Nilipuuza wema wako, labda pia we ni muongo
Nikaona ndo wale wale wakunitesa roho
[Chorus]
Sorry sana aah, sorry sana aah
Sorry sanaa we ni mpenzi wangu
Sorry sana aah, sorry sana aah
Sorry sanaa we ni mpenzi wangu
Sorry sana aah, sorry sana aah
Sorry sanaa we ni mpenzi wangu
Sorry sana aah, sorry sana aah
Sorry sanaa we ni mpenzi wangu
[Verse 3]
I say, I love you and I need you
I love you, love you, nishike
Mapenzi ni mi na we, mimi sasa ninajua
Thamani ya mapenzi kwako wewe mi naijua
Umenitoa kwenye giza, umenieka kwenye mwanga
Na sasa ma baby, I love you so much
Eee iiii iihh
Eee iiii iihh
Eee eee eeh
Ooh ooh wewee
Wewe ma baby, mamii iii iiih
I say, I love you and I need you
I love you, love you, nishike
Mapenzi ni mi na we, mimi sasa ninajua
Thamani ya mapenzi kwako wewe mi naijua
Umenitoa kwenye giza, umenieka kwenye mwanga
Na sasa ma baby, I love you so much
Eee iiii iihh
Eee iiii iihh
Eee eee eeh
Ooh ooh wewee
Wewe ma baby, mamii iii iiih
[Chorus]
Sorry sana aah, sorry sana aah
Sorry sanaa we ni mpenzi wangu
Sorry sana aah, sorry sana aah
Sorry sanaa we ni mpenzi wangu
Sorry sana aah, sorry sana aah
Sorry sanaa we ni mpenzi wangu
Sorry sana aah, sorry sana aah
Sorry sanaa we ni mpenzi wangu
[Outro]
Wewe ni mpenzi wanguuu uuh
Wewe ma babyyy iiih
Ooh uuuh wewe ma baby
Wewe ma love eeeh
Eeeh wewe ma baby
Wewe ma looove aah aaa eeh
Wewe ni mpenzi wanguuu uuh
Wewe ma babyyy iiih
Ooh uuuh wewe ma baby
Wewe ma love eeeh
Eeeh wewe ma baby
Wewe ma looove aah aaa eeh
No comments:
Post a Comment