Friday, 22 July 2016

SORRY SANA LYRICS BY MARLAW


[Intro]
Ayayayaa heey
Ayayayaa ayayaaya
[Verse 1]
Ningejua toka mwanzo we ulinipenda mi
Nisingewaza niliyowaza juu yako mamii
Ningejua ulitayari maisha yako we na mi
Nisingewaza labda we utaniumiza mi
[Pre-Chorus]
Nimetoka mbali mimi, na mapenzi nimeshalia
Maumivu yangu mimi, nikaelekeza kwako pia
Nikapuuza wema wako, labda pia we ni muongo
Nikaona ndo wale wale wakunitesa roho
[Chorus]
Sorry sana aah, sorry sana aah
Sorry sanaa we ni mpenzi wangu
Sorry sana aah, sorry sana aah
Sorry sanaa we ni mpenzi wangu
[Verse 2]
Nilishaapa sitoingia tena upenzini
Nikajiamini lazma nije niishi peke yangu
Ujio wako kwangu mi niliona ni utani
Nikaona labda uje unipe mi company tu
[Pre-Chorus]
Umenibadilisha mengi, umenisahaulisha mengi
Sikukudhamini mwanzo, nakulipiza kwa upendo
Nilipuuza wema wako, labda pia we ni muongo
Nikaona ndo wale wale wakunitesa roho
[Chorus]
Sorry sana aah, sorry sana aah
Sorry sanaa we ni mpenzi wangu
Sorry sana aah, sorry sana aah
Sorry sanaa we ni mpenzi wangu
[Verse 3]
I say, I love you and I need you
I love you, love you, nishike
Mapenzi ni mi na we, mimi sasa ninajua
Thamani ya mapenzi kwako wewe mi naijua
Umenitoa kwenye giza, umenieka kwenye mwanga
Na sasa ma baby, I love you so much
Eee iiii iihh
Eee iiii iihh
Eee eee eeh
Ooh ooh wewee
Wewe ma baby, mamii iii iiih
[Chorus]
Sorry sana aah, sorry sana aah
Sorry sanaa we ni mpenzi wangu
Sorry sana aah, sorry sana aah
Sorry sanaa we ni mpenzi wangu
[Outro]
Wewe ni mpenzi wanguuu uuh
Wewe ma babyyy iiih
Ooh uuuh wewe ma baby
Wewe ma love eeeh
Eeeh wewe ma baby
Wewe ma looove aah aaa eeh

No comments:

Post a Comment