[Verse 1]
Nimeamini raha ya upendo ikipotea huwa karaha
Sikutaraji kama leo hii nitabaki na jeraha
Nimeamini raha ya upendo ikipotea huwa karaha
Sikutaraji kama leo hii nitabaki na jeraha
[Chorus 1]
My number one fan tatizo ni we umefanya anitose
Wakati bado nampenda nafsi imejawa upendo wake
My number one fan tatizo ni we umefanya anitose
Wakati bado nampenda nafsi imejawa upendo wake
My number one fan tatizo ni we umefanya anitose
Wakati bado nampenda nafsi imejawa upendo wake
My number one fan tatizo ni we umefanya anitose
Wakati bado nampenda nafsi imejawa upendo wake
[Verse 2]
Sikujua dhamira iliokufanya we uwe karibu na mi iih
Nafsi inanisuta kwa kumkwaza hana hata raha moyoni
Alidai anaenda ili atuache mimi nawe
Nami sitaki kupoteza penzi lake nifanyeje
Sikujua dhamira iliokufanya we uwe karibu na mi iih
Nafsi inanisuta kwa kumkwaza hana hata raha moyoni
Alidai anaenda ili atuache mimi nawe
Nami sitaki kupoteza penzi lake nifanyeje
[Chorus 2]
You just my number one fan, she’s the one and I love her
She’s everything in my life, my dreams depend on her
You just my number one fan, she’s the one and I love her
She’s everything in my life, my dreams depend on her
You just my number one fan, she’s the one and I love her
She’s everything in my life, my dreams depend on her
You just my number one fan, she’s the one and I love her
She’s everything in my life, my dreams depend on her
[Verse 3]
Mi sijui hata nini nitafanya, maana mpenzi hutaki nielewa
Ninakuomba kwa mara nyingine tena
Nisamehe we ndo nakupenda
Mwanzoni alidai anapenda nyimbo zangu
Jinsi navyoimba
Akasema angefurahi angepata muda wangu
Ajifunze kuimba
Kumbe nia yake hakuwa vile mi nilivyodhania
Kumbe shida yake ilikuwa ile mpenzi uloniambia
Kumbe nia yake hakuwa vile mi nilivyodhania
Kweli shida yake ilikuwa ile mpenzi ulioniambia
Mi sijui hata nini nitafanya, maana mpenzi hutaki nielewa
Ninakuomba kwa mara nyingine tena
Nisamehe we ndo nakupenda
Mwanzoni alidai anapenda nyimbo zangu
Jinsi navyoimba
Akasema angefurahi angepata muda wangu
Ajifunze kuimba
Kumbe nia yake hakuwa vile mi nilivyodhania
Kumbe shida yake ilikuwa ile mpenzi uloniambia
Kumbe nia yake hakuwa vile mi nilivyodhania
Kweli shida yake ilikuwa ile mpenzi ulioniambia
[Bridge]
Sasa najutia ubishi wangu mi na kukupuuzia
Eti nisahau kuhusu we sababu yupo ye, ndivyo alivyonitamkia
Sasa najutia ubishi wangu mi na kukupuuzia
Eti nisahau kuhusu we sababu yupo ye, ndivyo alivyonitamkia
Sasa najutia ubishi wangu mi na kukupuuzia
Eti nisahau kuhusu we sababu yupo ye, ndivyo alivyonitamkia
Sasa najutia ubishi wangu mi na kukupuuzia
Eti nisahau kuhusu we sababu yupo ye, ndivyo alivyonitamkia
[Chorus] x2
You just my number one fan, she’s the one and I love her
She’s everything in my life, my dreams depend on her
You just my number one fan, she’s the one and I love her
She’s everything in my life, my dreams depend on her
You just my number one fan, she’s the one and I love her
She’s everything in my life, my dreams depend on her
You just my number one fan, she’s the one and I love her
She’s everything in my life, my dreams depend on her
[Outro]
Kumbe nia yake hakuwa vile mi nilivyodhania
Kweli shida yake ilikuwa ile mpenzi ulioniambia
Kumbe nia yake hakuwa vile
Kweli shida yake ilikuwa ile mpenzi ulioniambia
Kumbe nia yake hakuwa vile mi nilivyodhania
Kweli shida yake ilikuwa ile mpenzi ulioniambia
Kumbe nia yake hakuwa vile
Kweli shida yake ilikuwa ile mpenzi ulioniambia
No comments:
Post a Comment