Friday, 22 July 2016

NIMEKUSAMEHE LYRICS BY LADY JAY DEE

[Verse 1]
Nimekusamehe lakini sitokusahau
Visa ulivonitendea Kalala ee, eh
Visa ulivonitendea Jide ee, eh
Ulinikana eh wakati nina shida
Ukasahau yote tuliofanya nawe
Wakati unaelewa hakuna bingwa wa shida
Wakati unaelewa hakuna komando wa shida
Leo nakukumbusha shida huja na kupita
[Pre-Chorus]
Yaliyopita si ndwele tugange yajayo kaka
Kweli nimekusamehe lakini sitokusahau
[Chorus]
Lalalalalalala lalalalala la
Lalalalalalala mimi nimekusamehe
Lalalalalalala lalalalala la
Lalalalalalala mimi nimekusamehe
[Verse 2]
Rafiki wa kweli ni yule asiyekutupa eh
Kwenye dhiki na faraja mko wote, mko wote
Kwenye dhiki na faraja ooh, ooh
Uliniacha nateseka peke yangu, peke yangu
Pasipo msaada wowote kaka oh, oh
Pasipo msaada wowote kaka oh, oh
[Pre-Chorus]
Kweli nimekusamehe lakini sitokusahau
Yaliyopita si ndwele tugange yajayo kaka
[Chorus]
Lalalalalalala lalalalala la
Lalalalalalala mimi nimekusamehe
Lalalalalalala lalalalala la
Lalalalalalala mimi nimekusamehe
[Bridge]
Iyelele mama, iyelele mama, iyelele mama eh
Iyelele mama, iyelele mama, iyelele mama eh
Mamee
Iyelele mama, iyelele mama, iyelele mama Amza Kalala
Iyelele mama, iyelele mama, iyelele mama eh
Mamee
Iyelele mama, iyelele mama, iyelele mama Komando Jide
Iyelele mama, iyelele mama, iyelele mama eh
Mamee
Iyelele mama, iyelele mama, iyelele mama eh
Iyelele mama, iyelele mama, mamee aee
Lakini Mola muweza wa yote, wa yote
Kaninusuru na matatizo yamekwisha oh mama
Lakini Mola muweza wa yote, wa yote
Kaninusuru na matatizo yamekwisha oh mama
[Pre-Chorus]
Kweli nimekusamehe lakini sitokusahau
Na yaliyopita si ndwele tugange yajayo kaka
[Chorus]
Lalalalalalala lalalalala la
Lalalalalalala mimi nimekusamehe
Lalalalalalala lalalalala la
Lalalalalalala mimi nimekusamehe

No comments:

Post a Comment