[Verse 1]
[Ben Pol]
Oya, oya, oya hey
Mi nataka unisikilize
Oya, oya, oya hey
Nimekuja tuzungumze
[Ben Pol]
Oya, oya, oya hey
Mi nataka unisikilize
Oya, oya, oya hey
Nimekuja tuzungumze
[Jux]
Sema, sema, sema Ben Pol
Huwa napenda nyimbo zako
Ila tatizo, mavazi yako
Unasahau kwamba we ni msanii
Sema, sema, sema Ben Pol
Huwa napenda nyimbo zako
Ila tatizo, mavazi yako
Unasahau kwamba we ni msanii
[Ben Pol]
Ninavyovaa na kuimba, wapi na wapi?
Midosho China, kwani sh ngapi?
We una sifa, mi nnaimba
Nenda uliza shabiki wakwapi
Ninavyovaa na kuimba, wapi na wapi?
Midosho China, kwani sh ngapi?
We una sifa, mi nnaimba
Nenda uliza shabiki wakwapi
[Jux]
Unachelewa kaka, punguza ushamba sasa
Mziki biashara, natengeneza hela
Hauna mashabiki tena
Unachelewa kaka, punguza ushamba sasa
Mziki biashara, natengeneza hela
Hauna mashabiki tena
[Chorus – Ben Pol & Jux]
Nakuchana
Nakucha-nakucha-nakuchana (leo)
Nakuchana
Nakucha-nakucha-nakuchana (nakuchana)
Nakuchana
Nakucha-nakucha-nakuchana
(Nakuchana leo hii, nakuchana leo hii)
Nakuchana
Nakucha-nakucha-nakuchana (nakuchana)
Nakuchana
Nakucha-nakucha-nakuchana (leo)
Nakuchana
Nakucha-nakucha-nakuchana (nakuchana)
Nakuchana
Nakucha-nakucha-nakuchana
(Nakuchana leo hii, nakuchana leo hii)
Nakuchana
Nakucha-nakucha-nakuchana (nakuchana)
[Verse 2]
[Jux]
By the way natafuta msanii wa kumsaidia
Niambie video ya mwisho nani kakulipia
[Jux]
By the way natafuta msanii wa kumsaidia
Niambie video ya mwisho nani kakulipia
[Ben Pol]
Nafanya shows kila mwaka
Wapi we unapata pesa
Story zako nshazipata
Unalelewa na Vanessa
Nafanya shows kila mwaka
Wapi we unapata pesa
Story zako nshazipata
Unalelewa na Vanessa
[Jux]
Mi mfanyabiashara, toka long time
Wala sio mwenzako
Mashabiki nimekupora, hata last time
Mechukua tuzo yako
Mi mfanyabiashara, toka long time
Wala sio mwenzako
Mashabiki nimekupora, hata last time
Mechukua tuzo yako
[Ben Pol]
Ngoma ya kitoto haikeshi
Subiri next time, naandaa dozi yako
Hata hizo gari na pesa
Mbwembwe za bling bling
Mshukuru sana ex wako, Jacky
Ngoma ya kitoto haikeshi
Subiri next time, naandaa dozi yako
Hata hizo gari na pesa
Mbwembwe za bling bling
Mshukuru sana ex wako, Jacky
[Chorus – Ben Pol & Jux]
Nakuchana
Nakucha-nakucha-nakuchana (leo)
Nakuchana
Nakucha-nakucha-nakuchana (nakuchana)
Nakuchana
Nakucha-nakucha-nakuchana
(Nakuchana leo hii, nakuchana leo hii)
Nakuchana
Nakucha-nakucha-nakuchana (nakuchana)
Nakuchana
Nakucha-nakucha-nakuchana (leo)
Nakuchana
Nakucha-nakucha-nakuchana (nakuchana)
Nakuchana
Nakucha-nakucha-nakuchana
(Nakuchana leo hii, nakuchana leo hii)
Nakuchana
Nakucha-nakucha-nakuchana (nakuchana)
Nakuchana
Nakucha-nakucha-nakuchana (leo)
Nakuchana
Nakucha-nakucha-nakuchana (nakuchana)
Nakuchana
Nakucha-nakucha-nakuchana
(Nakuchana leo hii, nakuchana leo hii)
Nakuchana
Nakucha-nakucha-nakuchana (nakuchana)
Nakucha-nakucha-nakuchana (leo)
Nakuchana
Nakucha-nakucha-nakuchana (nakuchana)
Nakuchana
Nakucha-nakucha-nakuchana
(Nakuchana leo hii, nakuchana leo hii)
Nakuchana
Nakucha-nakucha-nakuchana (nakuchana)
No comments:
Post a Comment