Barua yako
nimekwisha ipata sheri,
Nia yako tupendane
wawili oo
Sikatai lakini kitu
kimoja
Naogopa ee naogopa
Wanaokupenda
watanipa taabu
Mimi masikini ee
naogopa
Hali yangu ya
unyonge sijiwezi oo ah mama
Elewa wazi kama
tutapendana oo
Mabaya mengi yatanifuata
fuata
Na mimi wenzio
kamwe sijivuni oo
Nakuomba ee ufikiri
oo ah mama..
Ukweli nakupenda
lakini naogopa
Kwani kukabili wale
wako wanaokupenda
Kukopa harusi
kulipa matanga
Kupendana raha
takapotupata balaa tuepuke mama
hapo sawa.. thanks for the lyrics
ReplyDelete