Thursday 4 February 2016

Pakacha wangu lyrics by Rich Mavoko


When I wake up in the morning
  (In the morning, in the morning)
Assume nikiss mdomoni
  (Mdomoni, mdomoni)
Nalala na picha kitandani 
  (Kitandani, kitandani)
Mapenzi yananiumiza moyoni
  (Moyoni, moyoni)
We ndo pacha wangu mrithi wa bibi
Utu na visa vyangu vyote nakukabidhi
Hivi ni mama unaniumiza, usiku ukipiga simu uku unajiuliza
Naskia umeolewa nitaleta zawadi, tunza heshima isiwe mradi


 (CHORUS)
I love you baby baby
I love you baby baby 
Japo shida inabidi nizoee
Sina budi nizoee ×4

Ufinyu wa shilingi kwangu, shimo unaliona
Ukatili wa mapenzi yangu, kwa shibe ya dona 
Kila siku nasali, namwomba mola mja nilinde na hali najua unaniona 
Nishaulizwa sana weehh, hayaa hawaoni tukiongozana wee hayaa
Pacha tusiofanana mimi na we, hayaaaaaah
Kumbe we ndo pacha wangu mrithi wa bibi
Utu na visa vyangu, vyote nakukabidhi 
Hivi mama unaniumiza usiku


  (CHORUS)
Oooh eeehh mavoko
Oooh baby yoooh 
Oooh baby yoooh 
Bila wewe I'm ready
Oooh baby yooh

No comments:

Post a Comment