Friday 8 January 2016

Hapo zamani lyrics by Elani


Rauka jamaa, kumekuchaa
Miaka kumi na sita, kidato cha kwanza
Pokea salamu, siku mpya
Insyder za kwanza, zasifiwa boma
Kaipokea tetesi, moja shuleni ni wikendi
Barua uliyoituma, nimeshasoma na sijaweza kupumua, moyo wangu waridhika
Sijaweza kupumua aaah



 (CHORUS)
Hapo zamani nikajua ningekuoa 
Hapo zamani ukiambiwa unapendwa waamini 
Ukipendwaaa, una imani

Nilikuwaza saana mchana kutwa 
Wewe sukuma mimi ugali wishwa na tulipendana kinyama
Nikaipokea tetesi, una mwingine akula mishikaki, aishiye kifahari
Mi sikuweza kupumua, moyo wangu kavunjika
Sikuweza kupumua



  (CHORUS)


  (CHORUS)

No comments:

Post a Comment