Thursday, 3 December 2015

HAWAJUI LYRICS BY VENESSA MDEE

HAWAJUI LYRICS BY VENESSA MDEE

Hamjui tu nyie,
alichonifunza Mama na na ndiyo maana hamuishi kutukana x2 

Verse 1
Kila kitu majaliwa kupata nimebarikiwaga
Nini tulilia usiku mchana unabwabwaja Kwako
mi mpira unanicheza unavyotaka,
Kila siku beki leo kipa nimekudaka

Bridge
We mwanadamu gani uliyekosa aibu Huenda kuna,
kosa nieleze kilichokusibu Huishi Zogoa Zogoa,
Kila Siku Zogoa Zogoa Ukilala Zogoa Zogoa

Chorus
Hamjui tu nyie, alichonifunza Mama,
na na ndiyo maana hamuishi kutukana x2

Verse 2
Choko choko ndiyo mambo mliozoea,
Kuweka vigenge na makundi mkiniongelea ah ah Eti naringa,
nikishinda mnavimba, hamuishi kuniwinda Mungu ndiyo ananilinda

Bridge
We mwanadamu gani uliyekosa aibu kunisema kwa ubaya,
na ukiapa kwa Mungu
Huishi Zogoa Zogoa Kila Siku Zogoa Zogoa Ukilala Zogoa Zogoa

Chorus
Hamjui tu nyie,
alichonifunza Mama na na ndiyo maana hamuishi kutukana x2
We mwanadamu gani uliyekosa aibu
Huenda kuna kosa nieleze kilichokusibu,
Huishi Zogoa Zogoa Kila Siku Zogoa Zogoa Ukilala Zogoa Zogoa

No comments:

Post a Comment