Thursday, 29 March 2018
KWA NGWARU LYRICS BY HARMONIZE FT DIAMOND PLATNUMZ
[Verse 1: Harmonize
Mh! I wish ningekuwaga na mavumba, Mkwanja manoti ni kuhonge vya dhamani,
Ama niwefundi wa kuigiza ka-Kanumba, Masanja Joti usiwembali nami,
Mh! my darlin i need your Love Oh, uwe nami hakia Mungu nakupenda,
No body Can show you Love Oh, Usiwaamini, ukishawapa wanakwenda,
[Pre-hook: Harmonize]
Oh basi jilegeze nikubebe mgongoni (Iyelewi),
Deka nikudekeze nikutunze kama mboni (Iyelewi),
Wakija wapoteze jifanye kama hauwaoni (Iyelewi),
Kisha uniongeze ulivyo funzwaunyagoni (Iyelewi),
[Hook: Harmonize]
Oh baby asa dance nikuone (Kwa ngwalu),
Uwabamijo (Kwa ngwalu), Ululufemi (Kwa ngwalu),
Oh baby asa cheza nikuone (Kwa ngwalu),
Uwabamijo (Kwa ngwalu), Basi cheza na mimi (Kwa ngwalu),
[Verse 2: Diamond Platnumz]
Aga moyo wangu muarobaini, mchungu ukiuziwa,
Samehe mara sabini, huo uzungu sijajaliwa,
Ukipenda chunga majini, kwenye uvungu
Kumbatie ubaridini, kwenye tundu kama njiwa,
Moyo wangu ni wamakuti usinijie na kiberiti (Asa wee),
Penzi likageuka chuki nyumba ikawa kibiti (Asa wee),
nipatie vya kitandani nipe mpaka kwenye kiti (Asa wee),
ili asiniingie shetani nawe nikaja kuku-cheat,
[Pre-hook: Diamond Platnumz]
Oh basi jilegeze nikubebe mgongoni (Iyelewi),
Kitandani nikoleze kwa miuno ya kingoni (Iyelewi),
Kisha nibembeleze nirudishe utotoni (Iyelewi),
Weka mate niteleze kama nyoka pangoni (Iyelewi),
[Hook: Diamond Platnumz]
Oh baby asa dance kidogo (Kwa ngwalu),
ooh ubanwe (?) (Kwa ngwalu), Ululufemi (Kwa ngwalu),
Oh baby asa cheza nikuone (Kwa ngwalu),
Uwabamijo (Kwa ngwalu), Basi cheza na mimi (Kwa ngwalu),
[Bridge: Diamond Platnumz & Harmonize]
Aga Nataka kucheza chura naingai ungesimama (ainama inama),
Asa Waonyeshe (ainama inama), unachezaje (ainama inama),
Unataka maji ya kisima na muoga kuchutama (ainama inama),
Nimuonyeshe (ainama inama), wanachotaja (ainama inama),
Unataka kupiga deki, wima umesimama (ainama inama),
Ebu tuonyeshe (ainama inama), unapiga je? (ainama inama),
Siunataka vya pool table asa mbona unajibana (ainama inama),
Embu tuonyeshe (ainama inama), unalenga je? (ainama inama),
[Outro: Diamond Platnumz & Harmonize]
Ii Oya wanangu wa kigogo (ainama),
Nipe za Mose Iyobo (ainama),
Vunja vunja kidogo (ainama),
Aniongezee mikogo (ainama Inama). a
Friday, 16 March 2018
AFRICA BEAUTY LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ FT OMARION
I’m in love
with you, cause
nothing I wouldn’t do,
Catch a
bullet for you, as long as
you want me to
I’m in love
with you, cause
nothing I wouldn’t do,
Catch a
bullet for you, as long as
you want me to
Penzi
nitalipamba ngonjera, huba kana
Tanga segera
Kwa viuno
vya Baikoko, kutoka
madzabe
Picha twazi
twanga kisela, Post Insta
mwanga kwa kyela
Baada ya
chali kimoko
Cause I
just wanna let them know
You’re my
African beauty
African beauty
You’re ma’
African
beauty
Aaah you’re
ma’
African
beauty
You’re ma’
African
beauty
Uuh na na
na’
Uuh na na
na’
By the way
girl I’ve been looking for you
I think am
just a fire in Africa
Girl you
know the sound which will come out
Cause we
win the crowd (unclear words)
Do it now,
do it do it now
Do it now,
do it do it now
Penzi
nitalipamba ngonjera,
huba kana
Tanga segera
Kwa viuno
vya Baikoko,
kutoka
madzabe
Picha twazi
twanga kisela
Post Insta
mwanga kwa kyela
Baada ya
chali kimoko
Cause I
just wanna let them know
You’re my
African beauty
African
beauty
You’re ma’
African
beauty
Aaah you’re
ma’
African
beauty bembea
nitakupepea
African
beauty
Ooh love is
what I see,When I look
into your eyes
Hata
nikiugua huwaga napona NAPONA
And you
know you deserve to be
The one
that I text you HI
Timbwili
chumbani kila kona
Penzi
nitalipamba ngonjera,
NGONJEERA
huba kana
Tanga segera
SEGEERA
Kwa viuno
vya Baikoko,
kutoka
madzabe
Picha twazi
twanga kisela
Post Insta
mwanga kwa kyela
Baada ya
chali kimoko
Cause I
just wanna let them know
You’re my
African beauty
Ooh you’re
my, you’re my
Yes you’re
my
African
beauty
I’m in love
with you cause
nothing I wouldn’t do,
Catch a
bullet for you, as long as
you want me to
I’m in love
with you cause
nothing I wouldn’t do,
Catch a
bullet for you, as long as
you want me to
a
Subscribe to:
Posts (Atom)
-
Verse 1 Pombe ni kichwa kinauma, kishalewa, anajipoza na maji Na mimi hata muda sina, nishamkanya, ninasikiza mamelody Nis...
-
[Chorus] Watu walishachonga sana Eti Vailet simpati tena Na kuongea uzushi bwana Kwa kuona mambo yetu yananyooka Hata kiss, hug si...