Saturday 14 December 2019

Wajinga Nyinyi Lyrics By King kaka



Part One

Dear Lord
Today I come before you
For two things
Grateful for keeping me alive
Even though unajua my day
Na kutupea wakenye Amnesia
Asante

Sisi ni Vipofu na Viziwi
Na tunajua translator wetu alishadedi
2022 already si mnajua nani ni Prezzi
Si mnajua nyinyi voters ni washenzi
Nyi hamjui mdomo yangu
Ilibatizwa na wakongwe
So unashangaa akilli zenu time ya kura
Zinajaa shonde

Na hiyo wiki ndo najua
Jirani yangu huwa Mjaka
Kamah kumbe huwanga Msapere
Hata salamu hatapata
Piga tu kura na utalala bila kula A night of tears
Nanii skiza na macho na ona na your ears
Swali

Fununu ni ati system ya education  ni ya uduu
Is it true that’s why umepeleka mtoi wako akasome majuu
While graduates wanashika placards kwa traffic
Mtu wa acturial science anataka kujimada its so tragic
Swali

Ati Waiguru ako kwa office
na story ya NYS tulishasahau
Biro moja alibuy 8 thao
Biro tunanunuanga mbao
Either sisi ndio wajinga ama
ako na marking scheme ya Accau
Time will tell, Vijana wanabet na Kifo
Wanadai betting imewapea job kuwaliko

City stadium imekuwa renovation for 3 years
budget ziwatoshe While Sonko anadance tu kwa Ofe
Swali

Part Two

How do you sleep at night
knowing mkono yako imeua not close to purity
Wordsmith King Kaka arrested for fighting impunity
Ata wakijam na hatupati bread hawatusomi na Sikwani
Promises hamuweki hii ni relationship gani is it true
Uko na account offshore zimejaa money
Na account ya daughter ya waititu iko na depo ya 100 mita
Ukipelekwa kotini ni escort ya polisi kama sita
Ladies and gentlemen official speeh by Mbwa Mwitu

Wacha avae ngovi ya kondoo kwanza ndio tumsifu
Si basi wakam kwa church watoe pesa tulitoa kama tax
Na pastor anakiss ass, ampatie hadi asome kaverse
Na sisi tuko busy wajinga nyinyi tunaclap
Wakinisnipe tonight si mnajua ni kwa nini
Nitakufia watu mi siogopi mimi
Wasijifanye hapo watalost ata chuma u rust
Na hizo ganji hamtazikwa nazo news flash flesh urudi kwa dust
Nchi inaongozwa na thieves

Na ukiogopa jua hauwezi kuwa chief
Iba hizo mamita mko scott free niibe kuku ntalala ndani
Atleast pastor Ng’ang’a amewashinda anadanganya hadharani
Hapo parliament kwani mnashda gani simtuibie Kiplani
Mmetumiwa shetani gani na job ziko wapi
Swali ni ukweli lazima uretire ndio upate job
So inamaanisha lazima kwanza nipatie job ndio nipate job job

The youth ni moody at 90 and Gikonyo at 80
Manifesto mlisema job ni plenty
KQ walisamehewa deni ya 24 billion, sugar mill farms 40 bili
Na ujinga yenu mnaweka students hawajalipa kwa gazeti HELB

Part Three

Hizo mlango zenu vile mmebeef security hamuwezi nikubalia hodi
Remember me my mom anaitwa Wanjiku na my father is a nobody
Naskia mafuta imepanda tena
Inatoka Turkana ndio urudi tena
Hesabu ya 1 plus 1 inawachenga
Mtaenda retreat kuidiscuss tena
Na mjiongeze pesa ya tax payer tena

Laptop ni multi billion project na walimu odhago hawana lights
Wanacharge kwa generator shopping center its not right
Wasipandishe tax hizo ndio dreams mi uwa nazo nikituna
What are we really doing as a country saa zile tunachuja Miguna
Petroli imepanda so inamaanisha polisi wataoperate kama customer care

Busaa na chwara zinamaliza mayout enyewe Stivo was right
Mihadarati haiwezi, wachane na polisi wafanye raid tena
Ama ni vile OCS hajapewa yake na kila mwizi oh i mean ya kila mwezi
Na polisi wako in cahoots, hao ndio usupply wagondi na guns za kushoot
Swali Kazi ni formalities na ukiapply ina bounce
Ni ukweli KPLC wanatuwekea Bill haziko na zinaenda kwa personal accounts

Welcome to our country where politician wana ujinga za kila aina
Economy imekuwa hard hakuna kitu ya kuteremsha chai na
Karibu to the Kenya Repulic of China
I support Teachers Doctors wakistrike
Na the president is saying ati kama hawarudi watachujwa

Hakuna siri kwa nyumba
Naskia jirani bibi anakula you know what i mean
Police anaishi kwa keja zimeseperatiwa na curtains i mean 2019
Na hizo damu zitawafuata kwa coffin
Punda idedi lakini mzigo ifike

KCSE hazijafika sababu ya floods so instead wacha niulize maswali
Harambee stars wanalala kwa floor airport flani while mnahire priate jets
Swali, disaster mnakimbia kusema vile mtacreate enquiry
Is it true women rep ndio wanadishi pesa ya pads meant for girls
Maize scandal wako na matusi kwa national TV such role models
Youth unemployment

Politicians ni addicts wa pesa
KRA wanatuibia ndio wapatie wezi pesa
Deadline ya tax return ni Tuesday
Jengeni tu, sips tea iko na mercury kwa shuge
Swali

Is it true war iko funded as tunaloose KDF soldiers daily so unalia
Ndio maana tumeshindwa kutoa troops somalia
Mnakula pesa ya health ndio maana mkenya hawezi afford
The moment you fall sick tunaskia unapata treatment Abroad
Na voter akidedi na Cancer Kera

Perfect opportunity atoe coffin na transport on top auze sera
Hapo ndio mras uwasha kilucy
In the name of treatment kuna power ni Kirusi
Moha umefunga jicho, jicho pevu ni Kipofu
Huduma number kumbe ilikuwa u ka scam flani
Na maraga anataka magari

Part Four

Rais unaona hapo ni wanajeshi wa Navy wakionyesha umaarufu
Wao wa vita ya kulinda nchi wakiwa kwa maji
Wajinga nyinyi while Mariam na daughter wake hajapatikana wiki mbili wako kwa maji
Sema MCSK Kutuibia
Kwa traffic uko on the wrong side ndio urush kutuibia
5 years ndio zinaisha naskia umeanza kurudi kwa ground wacha
Kupretend and all Kenyans know kwa ground vitu ni

Swali sijui ka unakumbuka mimi ndio nilikuweka hapo
Can’t see you nikaa tunacheza tapo
Swali
Ama na assume ni vile ulibuy simu uko na line mpya
Na haushikangi numbers haujui
I stopped being your friend unanitreat namna ya adui

Swali
Stadium ziko wapi? Kazi ziko wapi?
Ile manifesto iliniwow iko wapi?
Na hii handshake kwani ni ile sisi ufinya Kenyatta kwa mkono ya karao
Swali
Ata kama tuko na Kenyatta ndio maana strongly feel hatujapata Uhuru.

Saturday 13 July 2019

Shado Mado Lyrics by Willy Paul

We have a message for your brain
God we put your enemy to shame(boom)
Everybody shado mado
Nah nah everybody shado mado(uum)
Everybody shado mado
Nah nah everybody shado mado(uum)
Say nah nah nah nah nah nah nah
Ah, nah nah nah nah
Nah nah nah nah nah nah nah
Ah, nah nah nah nah(shado mado)
Shake your head if you feel okey(Shado mado)
Coz the Lord is your victory(Shado mado)
I know worries not get to we(Shado mado)
And nobody nah step to it(Shado mado)
Wake up every morning(Boom)
A new day is dawning(Boom)
God’s sunshine is shinning
Take a step, you’re the best
And you you gonna bust about
(Woah woah woah)
(woah woah)
Naamka asubuhi(Boom)
Msela sina worry
Devil amepata ngori
So, anafeel sorry
Kama umepata baraka zake
Sema Hallelujah
Kama umepata baraka zake
Sema Hallelujah
And am shouting coz am too blessed
Sema Hallelujah
Hadi vile na like ma blessings
Sema Hallelujah
Everybody shado mado
Nah nah everibody shado mado
Everybody shado mado
Nah nah everibody shado mado
Sing nah nah nah nah nah nah nah
Ah, nah nah nah nah
Nah nah nah nah nah nah nah
Ah, nah nah nah nah(Shado mado)
Shake your head if you feel okey(Shado mado)
Cz the Lord is your victory(Shado mado)
I know worries not get to we(Shado mado)
And nobody nah step to it(Shado mado)
Oooh
Oooh
Willy tell ’em
Willy Pozee you be tell ’em
Baraka zako kibao(Ayee)
Tangu nikiwa mdogo(Ayee)
Sijawahi tupa mbao(Ayee)
Leo wananiita baba yao
So me haffi say thankful
Cz the Lord give me more than handful
Me I give my life abundantly
Father God, Holy spirit dem watch over me
Lazima niseme asante
Mwenyezi Mungu umekuwa goodie goodie
Umewaweka maadui chini
Si unajua, father God umenifanya mshindi
Everybody shado mado
Nah nah everybody shado mado
Everybody shado mado
Nah nah everybody shado mado
Sing nah nah nah nah nah nah nah
Ah, nah nah nah nah
Nah nah nah nah nah nah nah
Ah, nah nah nah nah(Shado mado)
Shake your head if you feel okey(Shado mado)
Cz the Lord is your victory(Shado mado)
I know worries not get to we(Shado mado)
And nobody nah step to it(Shado mado)
Oooh
Oooh
Willy tell ’em
Willy Pozee you be tell ’em
Shado shado shado(Shado mado)
Shado shado mado(Shado mado)
Shado shado shado(Shado mado)
Shado shado mado(Shado mado)
Kila mmama aitoke(Shado)
Kila mbaba aitoke(Shado)
Na watoto watoke
Shado! Shado! Shado! Shado! Shado!
Shake your head if you feel okey(Shado mado)
Cz the Lord is your victory(Shado mado)
I know worries not get to we(Shado mado)
And nobody nah step to it(Shado mado)
Step Step Step
Take a step, you’re the best
And you you gonna bust about(Woah woah woah)
Take a step, you’re the best
And you you gonna bust about(Woah woah woah)

Sunday 12 May 2019

Mmmh Lyrics by Rayvanny ft Willy Paul

Vanny boy
willy Poizee
Teddy B

Siku kuu kukupata we mdolly
kwa ajili yangu Mungu amekushusha
kitunguu we ndo ladha ya mtoli
kama nyama nyama kwenye sambusa

kichuguuni mi mzigo na toroli
hadi nguo inataka pasuka
msupuu mwenye macho ya gololi
rangi kama unaoga mafuta

ooh my(ooh my), I don’t lie
girl know you changed my life
in your eyes, I don’t lie
girl you know you changed my life

we ndo raha,dunia mbaya
sikia my dear, usije nikimbia
tulia, nile niwe na wewe

mmmh mmmh mmmh (sisemi)
mmmh mmmh mmmh (nabaki naguna guna)
mmmh mmmh mmmh (mama sihemi)
mmmh mmmh mmmh (nabaki najimumunya)

Monday 11 February 2019

KAMASUTRA LYRICS BY SAUTI SOL FT VANESSA MDEE

Oooh..
Leo kama Kamasutra mama
(kamasutra)
Kama kama Kamasutra mama
(Yeah yeah yeah yeah)
Kama kama Kamasutra baba
(Kamasutra)

Ntakupa kazi upande mlima baby yeah
Na siri zangu zote ntatoboa yeah....
So many things I want to do to you my baby yeah
Na siri zako mi sitatoboa

Huh
Selector, I got something to make you better
Light the fire me napepeta
Light the fire me napepeta
Selector I got something to make you better
Light the fire me napepeta
Light the fire me napepeta

Leo kama kamasutra mama....
(kamasutra)
Kama kama kamasutra beiby
(Yeah yeah yeah yeah)
Kama kama kamasutra baba eeh
(kamasutra)

Chalk wa Nairobi
Manzi wa kipare
Leo ni mahaba nakupatia

Ushawasha nare
Hanjam kare
Leo michuano kiroja mila

Na si malimali(aah)
Hii vibe kali(aah)
Cash madame nakubalika

Mboga juu ya meza
Teleza ki murenda
Washa wood-i na kadhalika

Ooh Venessa
I got something to you wetter
Baby let me kiss better
Light the fire mi napepeta

Selector I got something to make you rise up
Lemmi back it up on you
Light the fire me napepeta

Leo kama kamasutra(kamasutra)
Kamasutra(kamasutra)
Kama kama kamasutra(kamasutra)
Kamasutra(kamasutra)

Mapenzi ya kihuni yanimaliza
Kiuno kama nyingu baby punguza
Nishakubali wanafunzi
Wewe professor wa kamasutra

Mapenzi ya kihuni nimepachika(pachika)
Kiuno kama Nicky beiby tulia(tulia)
Kubali wanafunzi Mimi ni professor(professor)
(Kamasutra)

Mizani kama mimi naondoka nawee
Napiga mahesabu naondoka nawee
Na Mimi nimekubali
Kuondoka na wewe,nawewe
(Kamasutra)

Mizani kama mimi naondoka nawee
Napiga mahesabu naondoka nawee
Na mimi nimekubali kuondoka nawee
Na wewe,baba nielewe

Leo kama kamasutra (kamasutra)
Kamasutra(kamasutra)
Na kama kama kamasutra(
Kamasutra aah aah...)
KAMASUTRA a

Sunday 23 December 2018

SAMANTHA LYRICS BY OTILE BROWN



Teddy B..
Mmmh.. mhhh..
Rangi ya mtome ndo bei
Rangi ya mtome ndo bei
Ngozi yake laini, hmmhhh



Kiuno chake cha kipekee

Kiuno chake cha kipekee
Yaani figa nane kamili
Hmmhhh



Tena magari yanabishana kwao

Usiku na mchana
Washika dau na wasanifu oooho
Mimi namlaumu mama, yako
Ulo ridhi matatizo
Uzuri wako swaserii
Ooooh hmmmhh



Samantha, Samantha

Samantha oooh baby
Baby you are my Samantha
Samantha, Samantha
Uzuri wako timilifu
Samantha oooh beiby



Hey nilipokuona

Nilijua wewe ndo wangu
Wala macho yangu hayakunidanganya, hmmh
Sasa nisipokuona kama ninakosa kanisa
Naogopa utanipora



Samahani kama

Nakuhukumu vibaya
My beiby, ni kwa sababu nakupenda
Na najua unanipenda
Tatizo wivu ninao
Mmmh beiby, basi tusonge lala



Hakika ulivyojaza hilo tattoo

Mimi macho kondo
Utuapo madem hawakai
Basi nipige game hadi ufurahi
Wewe kiboko
Mwalimu wako fundi hatari



Samantha, Samantha

Samantha oooh baby
Baby you are my Samantha
Samantha, Samantha



Uzuri wako timilifu

Samantha oooh beiby
Samantha, Samantha
Samantha oooh baby
Baby you are my Samantha
Samantha, Samantha



Uzuri wako timilifu

Samantha oooh beiby
Badman girl show me badman thing
Badman girl show me badman thing
Badman girl do the badman thing
Badman girl do the badman thing
Badman girl show me badman thing

Sunday 16 December 2018

NATIRIRIKA LYRICS BY ASLAY



Iye Lalalalala..
Lololololo..
Mmmmmhhh...

Sina nguvu ya kuleta matala
Mi kwako fala, Sijiwezi hata kidogo
We nipige hata kwenye hadhara
Mi bado fala,
Sikuachi hata kidogo

Nimesimama nakupenda peke yako
Nilikula ujana Ila kwako nimefunga kwato
Kamwambie na mama Kwamba mimi ndo mpenzi wako 
Waharibu ndugu lawama Penzi letu kuligusa mwiko

Natiririka(iyeee)
Natiririka mama natiririka
Uzani umezidi wa wa kilo(kilooo)
Natiririka, Natiririka mama natiririka
Maji ya shingo yamenifika Natiririka
Natiririka  mama natiririka Yamenifika(oooh)
Natiririka, Natiririka  mama natiririka
Ananipa nacho taka

ndo maaana Simba nimekuwa farasi mnyonge
Bouncer anaepelekwa puta na mende
Yuko wapi mganga wako niende
Nataka nimpeke zawadi kilinge atulie

Na nilikuwa mkata
Ila kwako kidomodomo
Nimekataa nimekataa
Na nilikuwa matata
Ila kwako mtoto
Natamba natamba

Nimesimama nakupenda peke yako
Nilikula ujana
Ila kwako nimefunga kwato
Kamwambie na mama
Kwamba mimi ndo mpenzi wako
Waharibu ndugu lawama
Penzi letu kuligusa mwiko

Natiririka(iyeee)
Natiririka mama natiririka
Uzani umezidi wa wa kilo(kilooo)
Natiririka, Natiririka mama natiririka
Maji ya shingo yamenifika
Natiririka, Natiririka  mama natiririka
Yamenifika(oooh) Natiririka
Natiririka  mama natiririka
Ananipa nacho taka ndo maaana

Natiririka, natiririka Mama
natiririka Mzani umezidiwa kilo kilo
Natiririka, natiririka  mama natiririka
Maji ya shingo yamenifika natiririka
Natiririka, natiririka  mama natiririka
Ananipa nacho taka ndo maaana
Punguza dozi utakuja niua
mwana wa mwenzio
Unanipeleka mperampera

Saturday 15 December 2018

IOKOTE LYRICS BY MAUA SAMA X HANSTONE



Maua Sama:

Hey... Hey .. ooooh...
Oh Baby niruhusu tufanane
Huku nikiamini one day utanioa
baby nikikuona nabanwa na haja
Baby nakuwanga kitoto ng'aa ng'aa
Tell me, nikipi chakupa mawazo
Oh baby wakati nakutunuku Mia Mia

Maua x Hanstone
Bridge:
Kwa kichomi nikande
Kwa Moto baridi zigande
Kama ruba nigande tuwe wote
Ah come baby come bae
Msumari kwa nyundo nigongee
Oh Monday to Sunday I love you...

Chorus:
Basi iokote
Sio kwa bedi, kwa kochi, kitanda naichumia
Iokote
Nikiona kwa juu chini naizamia
iokote
Sungura Nipe karoti maharage sijazoea
Iokote
Nakunja goti napandisha Mori nachechemea
Oh yeah baby baby....

Hanstone:
Ukitoka kuoga nitengee ya Moto Moto
Tingamo ka kitengee tutoke mtoko
Ahh boda kwa boda tutembee chocho kwa chocho
Tena nikichoka nibebee mie kwako mtoto
Rafudhi ya Pemba rangi rangi ahee
Nywele ya kihindi chambi chambi naree
Cheza rafu Kona Bambi mpoko mpokovu

Maua Sama:
Refa katupa penalti aah aaheeeh
Mpira ushawekwa kati aah aaheeh
Nahitaji magoli kwa chenga zako
Piga shuti nikudakie

Bridge:
Kwa kichomi nikande
Kwa Moto baridi zigande
Kama ruba nkugande tuwe wote
Oh come baby come bae
Msumari kwa nyundo nkugongee
Oh Monday to Sunday I love you ..

Chorus:
Basi iokote
Sio kwa bedi, kwa kochi, kitanda naichumia
Iokote
Nikiona kwa juu chini naizamia
iokote
Sungura Nipe karoti maharage sijazoea
Iokote
Nakunja goti napandisha Mori nachechemea
Oh yeah baby baby a

ALKAIDA LYRICS BY WILLY PAUL



Willy pozee Alkaida,
 nimelipuka kama bomb Alkaida,
 samahani nikikuboo Alkaida, 
nitakupiga ukonde boy Alkaida (pozeee) 

Alkaida, 
nanukia ka cologne 
Nivute kama ndom 
Mi ni yule king of flow** 
call me commando 
Kazi ni kuimba tu na kumake doh

Tena ananikalia kuna na aibu 
Anaogopa sana asipate aibu 
Naomba hii imfikie hadi chibu
Na wote wajue kuna jitu 

Kuna watu wenye roho mbaya
Hawapendi ona ukipenya 
But nabisha kila door 
Ata waninyonge koo 
Mimi ndo  the king of flow 
And they know

Kwenye mitandao nipo tu kila sehemu
Vijijini na mataoni (aah kila sehem)
Radio, TV,  niko pia kwenye system
Ngangari kama root na stem 

Alkaida, nimelipuka kama bomb
Alkaida, samahani nikikuboo 
Alkaida, nitakupiga ukonde boy


Alkaida Alkaida, najiamini ndumeAlkaida (pozee)
 Alkaida na kama ww ni ndume Alkaida(jibu) 

Kama kuna ndume naomba nijibu 
Usifanye tabia za kiaibu 
Huyu ni willy poze mr ibubu 
Just incase ulijisahaulisha 

Unajaribu kufunga njia zangu za afrika (Afrika ya mama) 
Unasahau wewe sio sio mungu baba (sio mungu baba) 

Umekwama plan a Niko plan b 
Mungu amefungua njia ata na cardi b 
Kuna rihananana (my rihananana eeh pia) 

Alkaida, nimelipuka kama bomb 
Alkaida, samahani nikikuboo 
Alkaida, nitakupiga ukonde boy 
Alkaida 

Alkaida, nimelipuka kama bomb 
Alkaida, samahani nikikuboo 
Alkaida, nitakupiga ukonde boy 
Alkaida Alkaida, najiamini ndume 
Alkaida(pozee) 
Alkaida na kama ww ni ndume 
Alkaida (jibu) a

PARANAWE LYRICS BY HARMONIZE X RAYVANNY


(yawe ya)
Ayo lizer

kwenye darkness
kwenye Candle
professional wa ku handle
the way you take me to the angle
wewe ni human being ama angel

if you want my heart oooh
I give you baby carry go
kidogo changu ndo chako
Ongeza njonjo madoido

(aah eeeeeh!)
my sheri koko
Kwa baridi nipe joto
(aah eeeeeh!)
kisha tupate kimoko
babu,bibi, kura doto
(aah eeeeeh!)

my sheri koko
Kwa baridi nipe joto
(aah eeeeeh!)
kisha tupate kimoko
babu,bibi, kura doto
(aah eeeeeh!)

(paranawe paranawe)
I want to see you dancing
(paranawe paranawe)
I like the way you dancing
(paranawe paranawe)
I like the way you dancing
(paranawe paranawe)

(Vanny Boy)
hivi unasokota jicho lako
legelege lina dondoka
(nakuuulizaa…)
hivi una ka motor
panga boy
chenga jay jay
ooh kocha
(wanimaliza…)

pretty gal, nasty
nitasema sorry nikimbeza
ata kama nyuma umetegwa pasi
sura mbaya dawa yake makeup

uweke wembe nitakula kiporo
nimeshapenda sijui kasoro
jirembe uwe mwororo
kama huna shepu vaa kigodoro

if you want my heart oooh
I give you baby carry go
kidogo changu ndo chako
Ongeza njonjo madoido(oooh)
(aah eeeeeh!)

my sheri koko
Kwa baridi nipe joto
(aah eeeeeh!)
ndo uitwange kokoto
pekupeku kama mpoto

(paranawe paranawe)
I want to see you dancing
(paranawe paranawe)
I like the way you dancing
paranawe(noga) paranawe(noga)
I like the way you dancing
paranawe(noga) paranawe

Anaeka sweeti
katamu mi nakajuwa uwa
na kanavyo jishaua uwa
ulimi picky
sinapo na vimaua ua
midomo denda ngozi muruwa uwa

awusha ashawa
pauka pakawa
inuka pagawa (eeeeee….)
zinduka mandawa
pinduka kagawa
karuka mabawa
I want to see you dancing
(paranawe paranawe)
I want to see you dancing
(paranawe paranawe)
I like the way you dancing
(paranawe paranawe)
I like the way you dancing
paranawe(noga) paranawe(noga)

Woiyooo Woiyoyo
Woiyooo Woiyoyo
Shake what your mama gave you
cheki wanaona wivu


a

KADOGO LYRICS BY ALIKIBA



Aaaaah
ivo ivo yoyooh
eeeeeeeh

kadogo kanapenda keroro keroro keroro
kadogo kanapenda keroro
kembamba kadogodogo kanapenda keroro

nikamuuliza anatoka 254
mombasa kwa wajanja janja
ananikosha rohoo

she must be there, be there
wow woooh kadogo dogo

unawakata machat
unawakata mafans
unanikulia papo sio
unawakata mapost,
unawakata mapost
unanikulia papo sio

unawakata machat
unawakata mafans
unanikulia papo sio
unawakata mapost,
unawakata mapost
unanikulia papo sio

kadogo kanapenda keroro keroro keroro
kadogo kanapenda keroro
kembamba kadogodogo kanapenda keroro ooh

akaja mbogo aah
akaja akaja mbogo keroro
akindrink anayumbayumba keroro
naskia ni love sio kidogo
anaweza alaf anakosha

na vile vilee eeeh
anavyo anansongaa anankosha
she must be there, be there
wow woooh kadogo dogo

unawakata machat
unawakata mafans
unanikulia papo sio
unawakata mapost,
unawakata mapost
unanikulia papo sio yeh baba

kadogo kanapenda keroro keroro keroro
kadogo kanapenda keroro
kembamba kadogodogo kanapenda keroro ooh

yeah kadogo dogo kananimalizaaa
kananikoshaaa roho 
kadogo kadogo dogo
kananimalizaaa nikoshaa rohoo
roho yangu weeeh


a

Saturday 17 November 2018

FREE LYRICS BY NYASHINSKI



Yeah sawasawa
Nisaidie tu
Tuko works kama kawa chill chill
K the great

Can I be free relax and take easy
We only live one life
So live your life ooh ooh
For yah you know am right yeah

Welcome to better ideas yeah
Gal don't just fantasize yeah
Light up and free your mind yeah

Ata ka unipendi
Unajua ni nani beast apa
Na level za udeadly
Hukua unajua zinaexist ata
Nakuombea daily
Ufike mahali una aim

Before nirudi nijenge na v8 baba
Before they play
me nionyeshe mahali snakes
(Mahali snakes wako)
Surgery hutoana my mistakes
(Inaitwa surgery)
Unaeza acha kucomplain
(Acha kucomplain)
Usiwahi danganya saidieni main

Can I be free relax and take easy
We only live one life
So live your life ooh ooh
For yah you know am right yeah

Welcome to better ideas yeah
Gal don't just fantasize yeah
Light up and free your mind yeah

So dry your tears
daddy don't you worry
Bubu have no fears
Mum said pinga kazi
While am young and strong
I say for you I will be
Strong for a thousand years

Style zangu ni medley
Nyash huwanga mdeadly
Ma rapper wanaona movie
Nyash we hukuanga Jetli
Singa ama ni MC
Zangu zina message
Zao hazina ziko empty
Nyash huwanga mzii (yeah)

Here I go
Geuza flow mwisho wa mwezi
Kuna njeve but atleast kuna doh
Ngoma zote wataandika kunidiss zitabore
Nambie nani amekupea
These many hits in a row row row

Dance for me baby (ooh yeah)
Just dance for me baby (ooh yeah)

Mi ni jina kubwa
Labda tuzungumze na babako
Ngari kubwa umaanishanga
Utaitishwa za macho
Buy mtumba ukihope
Haijabeba hukikulacho

Vibes tu nakupa
Ka unapenda jenga hustle
Lines tu zinakuja
Utasurrender K'mamako
Ni like tu atakama
Nimeweka word mbaya hapo

Hii night ikue true
Hadi kesho ujione kwa mpasho
Hii life huwezi jua so tonight

Can I be free relax and take easy
We only live one life
So live your life ooh ooh
For yah you know am right yeah

Welcome to better ideas yeah
Gal don't just fantasize yeah
Light up and free your mind yeah

Ooh can I be free
(Ooh can I be free)
Relax make easy
(Relax and take easy)
We only get one life
(We only get one life)

So live your life (ooh ooh)
For yah you know am right (yeah)
Welcome to paradise a